FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Watu watakaokuja kukuuguza watakuwa na bahati sana.
 
Usikimbilie kutukana,mimi sizungumzii hilo goli mimi nazungumzia matukio kwa ujumla ya mechi.
Neno "kujitoa ufahamu" kwako lina maana gani,nimetumia lugha uliyo tumia ww unasema na kutukana.Ungoea mpira sio kutukana ukijitia mwehu tuna mailizana humu humu.

Haya sasa matukio kama Yapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…