Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ndio nimekuja kugundua saizi kuwa ni typing errorDuh!...
Nimerekebisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nimekuja kugundua saizi kuwa ni typing errorDuh!...
Unasema?NAOMBA hata droo tu. Nimechoka na kichapo
shikilia apo kweny mojaSimba Nguvu moja....!
Hili goli moja lazima watalishangilia.Hivi yule mnajimu Genta naye kajificha wapi? Ila ushirikina wao wa mvua umewasaidia kupunguza idadi ya magoli.
Kushabikia kitu kinaitwa Simba mwisho leo. Kuna maisha mengine nje ya local soccerTutaambia nini watu🥲
anza kutoa wewe leo iyo milioo 🤣🤣🤣Kuna siku ya kisasi inakuja vyura watatoa milio yote.
Mimi mwananchi, unataka niwe kolo kweli?😅😅Mkuu hata sijui uliwezaje kuwa yanga🤗
Watu watakaokuja kukuuguza watakuwa na bahati sana.Mkuu usiumie, kwa namna tulivyopata pigo la kufumua kikosi, na namna mpinzani wetu alivyojiimarisha ilikuwa ni ngumu mno kushindana nae, lakini angalau vijana wanaimprove kwa sasa, angalia tangu tupigwe goli 5 hii ni mehi ya nne magoli yanazidi kushuka, hii ni dalili njema sana kwa upande wetu na mbaya kwa upande wao, nasema hivyo kwa sababu wanazidi kushuka huku mashabiki wao wakikaza mafuvu eti hapa tunamfunga simba goli zaidi ya nne, tano, kumi na mautopolo mengine mengi wakati uhalisia wapo kwenye mtelemko.mechi ya leo kwa kiasi kikubwa tumeshinda kama sio refa na uzembe kidogo hapo kwa kipa na kajiri.
Any way kama kuna mwanasimba alijua tunashinda hii mechi ajue kazingua mno tena mno.
Kufikia hapa mimi naona tumeshinda, tuwape pongezi kuanzia kocha na wachezaji tulipita kwenye ugonjwa mzito sana kuja kutegemaa ni misimu kadhaa mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
kimeshindikana nini kupiga izo 4?Hili goli moja lazima watalishangilia.
Maana walijua watakula zaidi ya 4.
Tunaenda zikipungua mkuu halafu zitaanza kupanda. Leo mmeshinda kamoja tu.anza kutoa wewe leo iyo milioo 🤣🤣🤣
Utakua na maombi ya hovyo sanaNAOMBA hata droo tu. Nimechoka na kichapo
Sawa.😂😂😅😅goli kafunga kijli wenu bhana acheni kulia lia
Tulia kijana
Neno "kujitoa ufahamu" kwako lina maana gani,nimetumia lugha uliyo tumia ww unasema na kutukana.Ungoea mpira sio kutukana ukijitia mwehu tuna mailizana humu humu.Usikimbilie kutukana,mimi sizungumzii hilo goli mimi nazungumzia matukio kwa ujumla ya mechi.