wanasema ilikuwa imetoka ye akairudisha ili aendelee kupelekewa moto na akaupata huo moto, mtoto kautaka!..π€£Unaruka kama nyani kwenda kuurudisha ndani mpira uliokuwa unaelekea nje halafu watu wanaweka ππππ
DR HAYA LAND usifungue tena kilinge, wateja tumekosa imani na wewe tafuta biashara nyingine πππ
Wao kufungwa goli chache wanaona wamecheza vizuri.Imecheza vizuri wapi, muda wote imeshikilia bomba
Naunga mkono hoja Mali ilikuwa inazunguka ilewanasema ilikuwa imetoka ye akairudisha ili aendelee kupelekewa moto na akaupata huo moto, mtoto kautaka!..π€£
Wanaojua mpira wanaelewa nimechosema. Simba inawachezaji 13 wapya. Yanga inawachezaji 4 wapya. Leo wachezaj 2 tu wapya ndio wameanza kikosi Cha Yanga. Simba wachezaji 4 tu waliokuwepo msimu uliopita ndio wameanza game ya Leo. Kwahio kama wameshika bomba basi wamejitahidi acha tuendelee kujenga team.Imecheza vizuri wapi, muda wote imeshikilia bomba
Mie kwenye simba utanitoa damu π΄βͺοΈWewe upo wapi
Pole mtani wangu next game mtatufunga sisiSina neno mtani....
Kijili kawazawadia zawadi...
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ tawireeeKilinge kilionesha wachezaji waliovaa jezi nyekundu ndo watafunga gori
Kumbe gori limekuwa lakujifunga π€π€
Leo nimelia sanaπMie kwenye simba utanitoa damu π΄βͺοΈ