Watapigwa nne wale waliokaa chupi upandeIsije kuwa nyie ndio mkapigwa hizo nne mkuuπ
Kwa mvua hii haiwezekani kucheza
Sawa nitakurudia baadae πWatapigwa nne wale waliokaa chupi upande
Mvua inapiga wapi mkuu, kigamboni darajani ambapo ni mita chache na uwanja ulipo kuna wingu tu.Jinsi mvuq inavyopiga nashauri mchezo uahirishwe
Anasema eti watapigwa nyeto kwasababu ya Mwanyeto.Ndio nani?
Watu wanaroga chini ya kisima wapo uchi uchi sio mchezo mambo ya mpira hayaWatapigwa nne wale waliokaa chupi upande
Tuone hio chupi upandeMark hii
Yanga 4
Chupi upande 0
Kama vip na wewe omba ban kabisa mkuuπππMark hii
Yanga 4
Chupi upande 0
Mida ya saa 2 hatutaki kusikia haya.Kama ni wazi haiwezekani uone wewe mwenyewe.
Usikute boxer ndo unaita chupi.
Kwani kolo mwezio Pdidy amekuja na baby oil?
Naombeni mniue kabisa ban haitoshi kabisa niueniiKama vip na wewe omba ban kabisa mkuuπππ
Kuiona mpaka kina jmushi1 ndiyo wakuoneshe mkuuTuone hio chupi upande
Kuua hapana naomba utamke unaomba ban hata ya mwezi tu mkali ,nipo hapa nasubiri πNaombeni mniue kabisa ban haitoshi kabisa niuenii
OkayKuua hapana naomba utamke unaomba ban hata ya mwezi tu mkali ,nipo hapa nasubiri π
Hamza kama hayupo pengo lake lazima liwepo. Dogo mtulivu halafu ana pasi nzuri kwa viuongo, wingers na hata strikers.Mida ya saa 2 hatutaki kusikia haya.
1: GSM kanunua match
2:kocha amezingua
3πengo la hamza limetucost
4:Refa kaua game.
5:bado simba inajitafuta
6: yanga wameshinda ila bado sana
Yaani kaeni chupi upande tu muone