Nipo Mkuu Kambi ya Fisi pamoja sana Nguvu Moja [emoji881]Ghazwat yupo wapi?
Ndiyo maana makolo wenzako, hawataki uanzishe uzi muone. Ulijua Agosto hawana mashabiki? TupooooUtakufa kwa wivu
Kweli aisee, Kama wapo hewani wafungue uzi mwingine tusafiri nao.
Iko wapi line up ya timuHuko kwenu mechi imeanza?