zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
sana anakula hela akija bongo anakula kichapo toka jangwaniIla anakula hela za hatari na ni exposure ya hatarii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana anakula hela akija bongo anakula kichapo toka jangwaniIla anakula hela za hatari na ni exposure ya hatarii
Nyie hata makundi mmefika lini mara ya mwisho?iyo kimataifa simba kafika wapi, zaidi anaishia robo na tarehe 23 atatueleza vzr
nyie mmefika mara 4 mfululizo ila haijawahi wasaidia msitembezewe kichapo mkirudi bongoNyie hata makundi mmefika lini mara ya mwisho?
Muulize wao hata makundi wamefika lini mara ya mwisho,Ila anakula hela za hatari na ni exposure ya hatarii
Sasa kichapo cha goli moja zaidi ndo kichapo??? Yani mm nina amani zangu kwa sbb siku ile mngefunga wwnyewe yani 2 kwa 0 hapo sawa yani tusingetikisa nyavu zenu kweli ila.na nyie mlilambwa tena cha mapemaasana anakula hela akija bongo anakula kichapo toka jangwani
Wahurumie kwa sasa wamepata ugonjwa unaitwa kiseyeyeMuulize wao hata makundi wamefika lini mara ya mwisho,
mkuu usijal tarehe 23 utapewa kipigo utakacho cha kuanzia goli 2Sasa kichapo cha goli moja zaidi ndo kichapo??? Yani mm nina amani zangu kwa sbb siku ile mngefunga wwnyewe yani 2 kwa 0 hapo sawa yani tusingetikisa nyavu zenu kweli ila.na nyie mlilambwa tena cha mapemaa
Ila waliwahi kufika nusu Fainali 2018, nyie mara mwisho makundi lini?ivi hii timu si ndio ilipigwa 6 na namungo
hakuna mpira hapo ni kabumbu mpira upo saa 3Refa amekua muoga kuliko Simba wenyewe, Kila jamaa wakisogea kwenye 18 ana piga firimbi zisizo na kichwa Wala miguu.
Mechi kama hii ilisha ji ishia huitaji refa kujivunjia hadhi na mpunga tayari unao mfukoni.
Ntakukumbusha mkuu mechi ya trh 23 hamuifungi Simba nakuhakikishiamkuu usijal tarehe 23 utapewa kipigo utakacho cha kuanzia goli 2
Sijawahi kuacha kuishangili Simba iwe mvua iwe jua hhahh. Yani iwe imefungwa au vinginevyo
Ila waliwahi kufika nusu Fainali 2018, nyie mara mwisho makundi lini?
hahahaah mkuu utakufa kwa pressure timu yako mbovu iyoNtakukumbusha mkuu mechi ya trh 23 hamuifungi Simba nakuhakikishia
Waliahidiwa pesa nono wakiitoa Simba.Naona kama benchi la ufundi la agosto wanarumbana vile?.na kipara cha kocha kinatoka jasho
4 : 11' Simba 0-0 Agosto
Agg 3-1