Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa Mkuu.Uzalendo upo kwenye timu ya Taifa huu ni unafiki tu.
Pole kwa goli tatu.Uko sahihi kabisa Mkuu.
Asante sana Mkuu.Pole kwa goli tatu.
Kidonda hicho weka chumvi mtani kikauke mapemaLolote liwakute mtani
RIP Marehemu Kolowizards alikuwa na mdomo sana [emoji851]Haya sasa kesho Yanga mnunue peni na madaftari mjifunze jinsi ya Kucheza na kushinda kwenye haya mashindano Sawa ?
Tena unafki huu huja baada ya kufugwa[emoji1787][emoji1787]Uzalendo upo kwenye timu ya Taifa huu ni unafiki tu.
Mkuu, kwakuwa wewe nakuheshimu kidogo... tafadhali rejea posts zangu ktk mechi zenu zote 2 Vs Ahly kwenye AFL, nilisema hikihiki ninachokisema leo.Tena unafki huu huja baada ya kufugwa[emoji1787][emoji1787]
Najua una hekima sana dada nifa, ila kwa yale mabango na masimango apana aseee😁😁Mkuu, kwakuwa wewe nakuheshimu kidogo... tafadhali rejea posts zangu ktk mechi zenu zote 2 Vs Ahly kwenye AFL, nilisema hikihiki ninachokisema leo.
Tafadhali!
🤣🤣🤣🤣 ikifika nitakukumbusha mkuu.Nilianza kuishabikia Asec tangu nikiwa mdogo sana, kila la heri asec
Kesho mapemaaa kwa mkapa na jezi ya asec🤣🤣🤣🤣 ikifika nitakukumbusha mkuu.
Hatutaki ushirikiano pambaneni kivyenu. Mmekuja champions league ambako huku ndo mtaani kwetu.Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.
Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.
Tanzania first, Tanzania above all.
Peace
Sawa Mkuu, Samahani.Hatutaki ushirikiano pambaneni kivyenu. Mmekuja champions league ambako huku ndo mtaani kwetu.
Peleka maoni yako ya kufungwa kwenye uzi wa yanga mlikozoea kufungwa. Usituletee story za kufungwa sisi hatujazoea kufungwa.Aliyetabiri Yanga itafungwa leo hii tokana na uchovu wa Wachezaji toka kwenye timu za Taifa alibezwa sana na Washabiki Maandazi "Mamluki".
Yanga kafungwa 3 na ni dhahiri akina Aziz Ki, Zengeli hata Lomalisa hawakuwa kwenye ubora wao wa siku zote.
Wananchi tusiwe kama Mbumbumbu SC fans ambao huingia na matokeo yao uwanjani 1 kwa 1 maana mpira huwa hautabiriki..
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app