FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.

Tanzania first, Tanzania above all.

Peace
Una comment kama Simba fan leo, hivi kwa hicho kilemba chako kichwa we sio mwana lunyasi kweli?
 
Kama upo karibu na uwanja wa taifa mda huu nakupa taarifa kuingia ni bureee hapa nimeshaingia ndani watu wanaingia wengi kama wotee
 
Simba leo tunarudisha heshima iliyopotea
 
Kama upo karibu na uwanja wa taifa mda huu nakupa taarifa kuingia ni bureee hapa nimeshaingia ndani watu wanaingia wengi kama wotee
Ila ni ukweli ulio wazi leo mwamko umekuwa mdogo sana na viongozi wasidharau tena manung'uniko ya mashabiki. Haya ya leo ni matokeo ya malalamiko ya muda mrefu ambayo yameonekana kupuuzwa.

Kufikia kufungulia mbwa ni mambo ya Yanga haya, wangeacha watu hao hao waliolipa waingie tupate taswira sahihi badala ya kufichaficha.
 
Mwenye link ya game hii naiomba
 
Hapo boss game ya Simba ninaionaje?, nimeangalia kwenye orodha ya mechi zinazooneshwa/zitakazooneshwa sijaiona.


Msaada tafadhali
 
Hii ndio uitwa growing up & maturity 🤓🤓🤓🤓🤓
Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.

Tanzania first, Tanzania above all.

Peace
 
Hapo boss game ya Simba ninaionaje?, nimeangalia kwenye orodha ya mechi zinazooneshwa/zitakazooneshwa sijaiona.


Msaada tafadhali
Mbona ipo mkuu
20231125_153147.jpg
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom