Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naumia sana mtani akifungwa na team yoyote ya nje, nilikuwa natanguliza 'u-Bongo' wetu kwanza,Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.
Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.
Tanzania first, Tanzania above all.
Peace
Darling, si ni wewe juzi tu ulisema unawaombea waliokukosea? Hili umeshindwa kabisa kudeal nalo?Nilikuwa naumia sana mtani akifungwa na team yoyote ya nje, nilikuwa natanguliza 'u-Bongo' wetu kwanza,
Ila baada ya dhihaka waliyofanya Jana na Leo dhidi yetu..!!
'team bora na ishinde'..!!
Ahsante..
Sweetheart,Darling, si ni wewe juzi tu ulisema unawaombea waliokukosea? Hili umeshindwa kabisa kudeal nalo?
Jana nimeumia kwa mengi, nilitukanwa mpaka kuvunjiwa heshima mwenzio lakini nimechagua amani.
Hebu ngoja tuone darling, hii ni idea nzuri, eti?Sweetheart,
Sijawaombea baya kabisa, nimemuambia tu Mungu, yule aliye bora anastahili huu ushindi..!!😂😂
![]()
كورة لايف | koora live | مباريات اليوم بث مباشر جوال kora live
كورة لايف,koora live,مشاهدة مباريات اليوم بث مباشر,live koora,بدون تقطيع عبر موقع كوره لايف,koora live 96,kooralive,لنقل المباريات لايف,koora live tv,لايف كورة,kora live1kooralive.live-kooora.com
Simba 2 Asec Memose cheyo 0. Goli la kwanza kupatikana kipindi Cha kwanza baada ya dakika 39 na goli la pili kupatikana kipindi Cha pili kabla ya dakika 30
Usimdharau usiyemjuaKatie mpunga kwa mhindi chap mbna anakusubir
Mzee hata logo ya simba hiujui?Mechi Ya Simba Unaijuaje maana ni Kiarabu
Mzee hata logo ya simba hiujui?
Usimdharau usiyemjua