FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.

Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.

Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?
Magugu na ngano havikai pamoja .
Simba Nenda Sisi Zetu Dua
Sisi Daima sisi tuko nyuma yako.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.

Tanzania first, Tanzania above all.

Peace
Wewe ni mpenzi wa mchezo wa mpira kuliko hata matokeo..... hongera
 
Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.

Tanzania first, Tanzania above all.

Peace
Kwa hiyo sasa hivi mko watatu huko utopolo,hongera kwa kujitambua
 
Aliyetabiri Yanga itafungwa leo hii tokana na uchovu wa Wachezaji toka kwenye timu za Taifa alibezwa sana na Washabiki Maandazi "Mamluki".

Yanga kafungwa 3 na ni dhahiri akina Aziz Ki, Zengeli hata Lomalisa hawakuwa kwenye ubora wao wa siku zote.

Wananchi tusiwe kama Mbumbumbu SC fans ambao huingia na matokeo yao uwanjani 1 kwa 1 maana mpira huwa hautabiriki..



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yanga kufungwa haikuwa uchovu, ila kushindwa kuwa na nidhamu ya kulinda.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.

Tanzania first, Tanzania above all.

Peace
Hadi huruma
 
Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.

Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.

Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?
Mimi nikiwa shabiki kindakindaki wa Asec nakiri wazi hatuwawezi Simba hasa wakiwa hapo Benjamin Mkapa.

Asec tujitahidi walau tufungwe magoli matatu tusiruhusu sana magoli
 
Naaam naam
Tunashukuru mweka thread wale wenzetu wamepakimbia kwao kule wamehamia huku naomba ukipata muda twende kule mara moja moja tukachochee moto 😁😁😁😁
 
Ushamba...ulimbukeni...uzwazwa...umbumbumbu....
Timu ndogo ndogo ndo zinafanya ujinga huu...
Azam kamkanda mtu 5 jana kwa 0 huwezi ona huu upupu...
Na bado [emoji2]
IMG-20231121-WA0017.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.

Tanzania first, Tanzania above all.

Peace
Nifah umenikosha sana. Kwa mtazamo huu nimewaza hata kukuoa, we ni wife matirio kabisa
 
Back
Top Bottom