DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Yanga ilipogongwa goli 3 na wa algeria bila shaka ulikua bibi haswaNilianza kuishabikia Asec tangu nikiwa mdogo sana, kila la heri asec
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga ilipogongwa goli 3 na wa algeria bila shaka ulikua bibi haswaNilianza kuishabikia Asec tangu nikiwa mdogo sana, kila la heri asec
Magugu na ngano havikai pamoja .Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.
Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.
Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?
Wewe ni mpenzi wa mchezo wa mpira kuliko hata matokeo..... hongeraPamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.
Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.
Tanzania first, Tanzania above all.
Peace
Kwa hiyo sasa hivi mko watatu huko utopolo,hongera kwa kujitambuaPamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.
Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.
Tanzania first, Tanzania above all.
Peace
Kabisa mkuuLolote baya zaidi liwakute Kolokhamsa, kamwe unafki si tabia yetu Wananchi "Yanga SC"
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huyooooò sipati picha una hali gani
Ushamba...ulimbukeni...uzwazwa...umbumbumbu....
Kapagawa mzee wa watu...Peleka maoni yako ya kufungwa kwenye uzi wa yanga mlikozoea kufungwa. Usituletee story za kufungwa sisi hatujazoea kufungwa.
Yanga kufungwa haikuwa uchovu, ila kushindwa kuwa na nidhamu ya kulinda.Aliyetabiri Yanga itafungwa leo hii tokana na uchovu wa Wachezaji toka kwenye timu za Taifa alibezwa sana na Washabiki Maandazi "Mamluki".
Yanga kafungwa 3 na ni dhahiri akina Aziz Ki, Zengeli hata Lomalisa hawakuwa kwenye ubora wao wa siku zote.
Wananchi tusiwe kama Mbumbumbu SC fans ambao huingia na matokeo yao uwanjani 1 kwa 1 maana mpira huwa hautabiriki..
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mtasubiri sanaLolote liwakute mtani
Hadi hurumaPamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.
Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.
Tanzania first, Tanzania above all.
Peace
Hahaha kabisaTena unafki huu huja baada ya kufugwa[emoji1787][emoji1787]
Mimi nikiwa shabiki kindakindaki wa Asec nakiri wazi hatuwawezi Simba hasa wakiwa hapo Benjamin Mkapa.Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.
Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.
Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?
Na bado [emoji2]Ushamba...ulimbukeni...uzwazwa...umbumbumbu....
Timu ndogo ndogo ndo zinafanya ujinga huu...
Azam kamkanda mtu 5 jana kwa 0 huwezi ona huu upupu...
Nina starehe zaidi ya 11, unategemea niwe na akili za kimbumbumbu kama Mbumbumbu SC fans nife kizembe, hujui ugali wa dona ulivyo mtamu na sato wa kubanikwa [emoji848][emoji847]Huyooooò sipati picha una hali gani
Nifah umenikosha sana. Kwa mtazamo huu nimewaza hata kukuoa, we ni wife matirio kabisaPamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.
Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.
Tanzania first, Tanzania above all.
Peace