Nipo mtani...wiki yetu hii ila tunakomaaUko wapi Kalpana nije kukupa pole Mtani kwa kichapo kitakatifu toka kwa Raja Casablanca [emoji848][emoji87]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£π€£Huyu Bocco tukubali tumemshindwa. Akiamua acheze tu hadi atimize miaka 80, tunampenda sana.
Kwa kipigo au wewe ni kijani na nyeusi?Ya nini?
Simba walitakiwa kusajiri wachezaji wanne tu msimu uliopita yaani, Adebayo, Manzoki, Phili na Aziz K.Genta anadai kuna viongozi wajanja wanafanya udalali kwa wachezaji ili wapate zile asimilia
Magoli gani waliyokosa Simba??Kabisa, magoli yamekoswa mengi mno
Manyoka kwani hata kurudi nyuma kujikumbusha hayawezi π πHata manyoka nyoka Wana iyo record na walifungwa na mnyama
Hawaamini macho yaoooooo.ππNaona wametingwa kushangilia sare!! Yaani hata hawaamini.
Hiki ndio mlifuata Dubai?Usikomae na maisha duni, ukipata nafasi nenda kapumzike hata Serengeti kama Dubai kuna gharama
Hivi hii imekaaje kiufundi aiseeTimu Yetu Haina Kocha Wa Viungo.
Labda anayemfahamu anitajie jina lake. Wachezaji wanachoka.
Anyways how comes top scorer wa Timu anakaa Bench Dakika 90 bila Kucheza huku Timu ina Struggle Kupata Magori?
Huenda Moo Aliona Hata akitoa hela zake kusajiri wachezaji Washambuliaji watakaa benchi
Bado nipo nashangaa mpaka sasa ati phiri anakalia mbao t kule nje dakika 90 .........anaanza boko then baleke sijui kibu .....phiri anautazama mpira benchini.......hahaa dah ππTimu Yetu Haina Kocha Wa Viungo.
Labda anayemfahamu anitajie jina lake. Wachezaji wanachoka.
Anyways how comes top scorer wa Timu anakaa Bench Dakika 90 bila Kucheza huku Timu ina Struggle Kupata Magori?
Huenda Moo Aliona Hata akitoa hela zake kusajiri wachezaji Washambuliaji watakaa benchi