FT: Simba 1-1 Azam FC | NBC Premium League | 21st February 2023 Benjamin Mkapa Stadium 🏟

FT: Simba 1-1 Azam FC | NBC Premium League | 21st February 2023 Benjamin Mkapa Stadium 🏟

Huyi kocha ni wa kufukuza apatikane kocha makini mithili ya Nabi, usajili wa hovyo wachezaji wengine wa kufukuza.Fukuza huyu Sakho apatikane mtu makini kama Moloko, Fukuza hii chama apatikane mtu makini kama Farid wa Yanga, Fukuza hii Kanoute tfuta mtu makini kama Aucho, Fukuza hiyo Kapombe apatikane mtu makini kama Kibwana.Tatizo pesa hakuna na Bilioni 20 za uongo uongo! Huyu Mo naye aondoke
 
Timu ina wachezaji wa wastani sana

Waondolewe, bora wavunjiwe mikataba tu
 
Kachanjiwa kwa ajili ya Simba tuu yule fwala
Mtumeni Manula akaombe radhi kwa Dume..!! Halafu Kalpana lile goli la Dube, hivi kuna timu imefungwa mapema zaidi hapa duniani kama ilivyokuwa kwa Simba leo? Maana isije ikawa mmejiwekea rekodi ya dunia ya timu iliyowahi kufungwa mapema zaidi duniani
 
Hakuna goli pale ni kiiini macho hahahha
Mtumeni Manula akaombe radhi kwa Dume..!! Halafu Kalpana lile goli la Dube, hivi kuna timu imefungwa mapema zaidi hapa duniani kama ilivyokuwa kwa Simba leo? Maana isije ikawa mmejiwekea rekodi ya dunia ya timu iliyowahi kufungwa mapema zaidi dunianiLa
 
Back
Top Bottom