Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAhahahaha😛Lakini upendo wao ni tofauti na nikupendavyo wewe🤣
Kumbe siyo mzalendo..!! Ilibidi uende nayo hadi mwishoKwa dkk 45 nilizoangalia Simba yangu mmecheza kiume...Tutafika tuu japo tukiwa tumechokaaa
Nilishindwa kuendelea kuangalia kwa kukosa uvumilivu...
Moyo ulikua unataka kutoka aiseeKumbe siyo mzalendo..!! Ilibidi uende nayo hadi mwisho
Dunduka unajipa moyo banaaaYanga wanajisahau kuwa mechi yao waliyoita ya kisasi kisasi hicho killipwa na mchezaji wa Ihefu kwa kujifunga yani full time ilikua
YANGA 1 ILA GOLI LA IHEFU
Sijawahi ona kisasi hicho
Namkumbusha Kinye fc mwenzako hapo juuDunduka unajipa moyo banaaa
Azam wamejifunga ila final touch amefanya kibuKibu Denis
Pole mtani..!! Maisha kuvumiliaMoyo ulikua unataka kutoka aisee
Sure mtaniPole mtani..!! Maisha kuvumilia
NgadaAdebayo aliomba m 300 tu aje Simba. Manzok naye aliomba hizo hizo badala yake wanasajiri Kocha na Okwa na Akpan na Okra ambao wanaishia Benchi.
Trip ya Dubai wanatumia B.2.
Nadhani hapo Simba kuna ajenda zaidi ya kucheza mpira.
Then?mmejiwekea rekodi ya dunia ya timu iliyowahi kufungwa mapema zaidi duniani
B 26 kibindoni mwa Makolokolo FC aaaah!....mdomo wangu koma [emoji87] [emoji1787]Adebayo aliomba m 300 tu aje Simba. Manzok naye aliomba hizo hizo badala yake wanasajiri Kocha na Okwa na Akpan na Okra ambao wanaishia Benchi.
Trip ya Dubai wanatumia B.2.
Nadhani hapo Simba kuna ajenda zaidi ya kucheza mpira.
Mna safari ya kuwafuata Raja, hapo ndio tutatuliaUtopolo hii wiki yenu ya kubwabwaja[emoji36][emoji36][emoji36]tukitoka Uganda hiyo midomo mtaifunga[emoji2958][emoji2958][emoji2958]
Genta anadai kuna viongozi wajanja wanafanya udalali kwa wachezaji ili wapate zile asimiliaAdebayo aliomba m 300 tu aje Simba. Manzok naye aliomba hizo hizo badala yake wanasajiri Kocha na Okwa na Akpan na Okra ambao wanaishia Benchi.
Trip ya Dubai wanatumia B.2.
Nadhani hapo Simba kuna ajenda zaidi ya kucheza mpira.
Walioko mbali wakutane kikanda..!! Mfano, Mbeya, Njombe, Iringa na Ruvuma wakutane Makambako. Wa Mwanza Bukoba, Geita, Kigoma, Musoma wakutane Geita mini. Wa kati wakutane Dodoma. etcMashabiki wa Simba mliopo Dar na mikoa ya jirani kama Moro na Pwani, kesho mkutane msimbazi mkazozane.
Wale mlioko mikoa ya mbali, basi anzisheni nyuzi humu JF tuje kuchangia mada zenu za malalamiko 😅😅😅
Hata manyoka nyoka Wana iyo record na walifungwa na mnyamaThen?