Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hii timu kitambaa angepewa Kapombe,anajitolea Kwa asilimia 100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo ni duka la Simba mkuuKocha azam amtoe Sopu, anasaidia simba kutengeneza mashambulizi
Kwa uzoefu wangu wa kuifuatilia Simba kama haipo kwenye mgomo baridi viongozi basi kuna fitna za uchaguzi. Wachezaji wanapiga mipira ya mwisho kama sio professional players. Halafu Bocco anatumia uchawi au kitu gani?
Nakubalina na wewe MadengeHii timu kitambaa angepewa Kapombe,anajitolea Kwa asilimia 100
Mkuu ni wakati tu team inawezekana kupita,inacheza vizuri ila haipati matokeoKwa uzoefu wangu wa kuifuatilia Simba kama haipo kwenye mgomo baridi viongozi basi kuna fitna za uchaguzi. Wachezaji wanapiga mipira ya mwisho kama sio professional players. Halafu Bocco anatumia uchawi au kitu gani?
MamaakoKwani Mo ni nani hadi useme no kwake? Au umekariri?
Huyu Bocco nilikuwa sitaki kujiingiza kwenye ligi ya uchawi, lakini sasa ....Kwa uzoefu wangu wa kuifuatilia Simba kama haipo kwenye mgomo baridi viongozi basi kuna fitna za uchaguzi. Wachezaji wanapiga mipira ya mwisho kama sio professional players. Halafu Bocco anatumia uchawi au kitu gani?
Wala Hakuna chochote kill mchezaji anajituma vzr Seema tu wako na pressure kubwa kufaitia kulabuliwa na raja CasablancaKwa uzoefu wangu wa kuifuatilia Simba kama haipo kwenye mgomo baridi viongozi basi kuna fitna za uchaguzi. Wachezaji wanapiga mipira ya mwisho kama sio professional players. Halafu Bocco anatumia uchawi au kitu gani?
Usiwaze leo unashinda . Niko hapa hapa utanikumbukaHuwezi kuniachanisha na Simba yangu
Jogoo mliemchinja kawaaibisha mmepigwa kibao cha fasta kama goli la jogooKigoli cha kichawi hiko