scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Si umeshaacha kushabikia mpira wewe,si vyema kujiapisha apisha kila maraMmmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umeshaacha kushabikia mpira wewe,si vyema kujiapisha apisha kila maraMmmh
Upumbavu uko kichwani mwako..haya ni maoni yangu...kwahyo kuwa striker miaka 6 ndo nini? Yy ndo wa kwanza kukosa magoli? Ndo maana tunasema atoke aingie mwingine...ila hata mastriker kina Halland wanakosa magoli pia...Huu ndio tunaita upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Kwa akili hizi Boko bado ana miaka sita ya kuwa striker Simba
Mkuu sio kila ukifungwa sababu inakuwaMkuu ukiwa nyuma utaona wachezaji pinzani wanapoteza muda.
Acha tufungwe hawa viongozi wetu waache usanii katika usajili
Ndio mmefungwa hiviDaah leo uwanja unaitwa wa hayati kwani ungeweka de le mkapa stadium ungekosa nini mkuu,sie simba tukifungwa tutakulaumu kwa kututajia hayati siku ya mechi
Tatizo goal la azam dogo kipindi cha pili watakaa kwenye goal kubwa tutawashonaTunafika sana kwenye box la azam lakini finishing sio kabisa
Mlete Fei awasaidieSio huyo pekee, kuna analysis naifanya pale Simba panahitajika kufumuliwa kwa namna ya kipekee mwisho wa msimu, huyo Zimbwe simlaumu, jamaa amecheza mfululizo misimu zaidi ya mitano!
Hii kitu haipo pengine duniani, ni Simba pekee..
msajilini huyu refa atawasaidia sana mechi za ndaniTunafika sana kwenye box la azam lakini finishing sio kabisa
Refa kawa favor sana kuna penati kapeta paleKuna namna jamani huyu Kocha anatutafuta...hebu ngoja tuone
Hata sisi tulikua na penalt kapetaRefa kawa favor sana kuna penati kapeta pale
ILikua na kifurushi cha halichachi hahahKwani zilikuwa na mimba mtani? 🤣🤣🤣
Huyu Bocco tukubali tumemshindwa. Akiamua acheze tu hadi atimize miaka 80, tunampenda sana.Bocco endelea kutukera huna baya na mtu...
inakera sana,mi sishabikii ili timu hadi boko aondokeKabisa yaani. Ana nini cha ziada cha kumuweka Phiri nje?
Take it easy guys, lets enjoy footballUpumbavu uko kichwani mwako..haya ni maoni yangu...kwahyo kuwa striker miaka 6 ndo nini? Yy ndo wa kwanza kukosa magoli? Ndo maana tunasema atoke aingie mwingine...ila hata mastriker kina Halland wanakosa magoli pia...
By the way wapi nimesema Bocco abaki...acha mihemuko
Unaangalia wapi mkuu kumbe nje ya box ni penatRefa kawa favor sana kuna penati kapeta pale