Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #261
Simba raha nyieeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubingwa wa historia hahahahahaha hahahahahaha eti mabingwa wa njiHebu peleka ujinga wako Kwa wajinga wenzio.
Yanga ni mabingwa wa nchi ndio sababu wanashiriki.
Si mnasema haya magori hayahesabiki? Sasa imekuwaje?Nataka Phiri apige hat trick wanaojua, sio yule anawapiga vibonde
Tuwasamehe wanajitoa ufahamuJuzi tu haya mambumbumbu yametoka kupakatwa na timu kutoka Djibouti.
Matola siku hizi umekuwa wa ajabu sana, kila post tusi sijui nini inakuchanganya.Hebu peleka ujinga wako Kwa wajinga wenzio.
Yanga ni mabingwa wa nchi ndio sababu wanashiriki.
Enyoj soka mkuu. Soka hatari linapigwa humuSi mnasema haya magori hayahesabiki? Sasa imekuwaje?
Kumbe tatizo ni wivu tu Kwa Mayele?
Si mnasema haya magori hayahesabiki? Sasa imekuwaje?
Kumbe tatizo ni wivu tu Kwa Mayele?
Nashangaa. A real gentleman hatukaniMatola siku hizi umekuwa wa ajabu sana, kila post tusi sijui nini inakuchanganya.
Unaposema timu zingine ungesema Geita, Azam na wao wenyewe MakoloOngezeni magoli 1 halitoshi.
Tusipoiombea simba mazuri tutakuwa wajinga sana kwani wao ndio sababu ya timu zingine kupata nafasi hii mtani
Pembeni kule kugumuOkra ajifunze kuwa na utulivu kwenye eneo la mwisho
Bado nadanga.Kwani wewe umeolewa