FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Mjukuu niwache! [emoji16][emoji16][emoji16]

Na mimi niliwaombea mshinde mapema kabisa mechi bado mbichi. Uzalendo kwanza jamani!

View attachment 2847327
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muongo, ulikua unatuchoraa.
Tungefungwa hapa, huwa unashusha memes had nachukia, nabaki kusema huyu mzee kumbe nae mchoshoo hivii aaaah.
 
Simba wameshinda dhidi ya wachovu wa kundi basi ndio wanaviiiimba.

Subirini mumfunge Asec huko kwao ndipo mseme timu imeimarika.

Yanga angekuwa kundi hilo angeongoza kundi
Aanze kuongoza kwan huko, mbna simba ameshawahi kuongoza kundi na Al Ahly akiwemo ndanii?

Nyie mnakwamaaa wapiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanasimba [emoji3059]
Shangaziii, leo ba tamu alisema niende ghetto kwake nlimkatalia, baada ya match anashangaa namuambia nikodie bolt nisogee hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kacheka had baas, niko hapaa yaan leo ntamfurahishaaaa, na venye wote simbaa woiiiiih

Tunaongezaa mabao yatakua 4 , [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shangaziii, leo ba tamu alisema niende ghetto kwake nlimkatalia, baada ya match anashangaa namuambia nikodie bolt nisogee hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kacheka had baas, niko hapaa yaan leo ntamfurahishaaaa, na venye wote simbaa woiiiiih

Tunaongezaa mabao yatakua 4 , [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Ila aunt umeshindikana kwaiyo tungepigwa mwanangu angekula Kwa macho
 
Tatizo Utopolo hua wanapalamia mechi,wakicheza hivyo wakijua Mtibwa watafungwa au kudraw
 
Naona Assec mimosa anaongoza goli tatu bila na mpira umeisha.......Hii game ya Assec na Jwaneng Galaxy nilitamani sana matokeo yake yawe droo,ila naona galaxy anatupa wakati mgumu sana sie simba mechi ijayo na assec ni kushinda tu na sio kudroo nao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muongo, ulikua unatuchoraa.
Tungefungwa hapa, huwa unashusha memes had nachukia, nabaki kusema huyu mzee kumbe nae mchoshoo hivii aaaah.
Raha ya ushabiki ni kumkera mpinzani wako bila kumuudhi wala kumvunjia heshima...

Kama huwa unakereka basi safari ijayo tukiwakanda khamsa aka 5G utanikoma 😁😁😁
 
Back
Top Bottom