Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga points 68
Simba points 63
MAKOLO msijisahau kua msimu huu hatapata kombe lolote za hili la Leo [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji172][emoji169]
Ombeni sana msiikute Simba Sc ikiwa full mkoko.Oke Hongereni wanasimba [emoji1666][emoji2]
Tukutane Fainali ya FA
[emoji169][emoji172]
Nilikuwa nasubia kitu angemfanyia Mayele mwishoni[emoji1787][emoji1787]Inonga anatoa burudani
Washukuru mganga wao 😂😂😂Leo walikuwa wanakula nne au tano
Kukufunga wewe bao mbili bila kama mumeo ihefu ni kombe toshaYanga points 68
Simba points 63
MAKOLO msijisahau kua msimu huu hatapata kombe lolote za hili la Leo [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji172][emoji169]
Mod wako busy. Jipige ban mwenyewe na upotee 🤣🤣🤣Hongera mtani 🙌🤝
Ukifuatilia post zangu tangu juzi nimeweka wazi Simba na Yanga wasimalize nguvu zao kwenye mechi hii kuna mechi ngumu za kiushindani zinawasubiri, Mara nyingi mechi hizo haziamuliwi kwa mauzauza Bali kwa quality za timu.Na nyie Rivers wanawasubiria kwa hamu wawapigeni staili pendwa ya nje ndani
Kwa kweeli. 😂😂Mtani wangu, nilikwambia mapema andaa viatu visafi ulale navyo. Ona sasa umekosa Lunch.
Kuugua kwa Manula imekuwa heri. Next time awe anaigiza namna hii
.Bahati yake ni kwa timu dhaifu, kama ameshindwa kufunga leo na Yanga haikuwa na siku nzuri basi hapo hamna kitu.
Yaaani.Washukuru mganga wao 😂😂😂
Shoga angu nakupendaaaTunawarudisha wachezaji wetu Jangwani 😂😂😂😂😂 kuna wana Yanga mnategea kusukuma 🙆♀️View attachment 2590164
Hadi zinazidi AuntieNyieeeee rahaaaaaa [emoji23]
Saaaana....Inonga anafurahisha sana huyu Jamaa
Hakika mtani, hili nalo limepita ni historia tu kwa sasaKwa kweeli. 😂😂
Ila ndo mpira Mtani wacha tugange yajayo sasa.