Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ubungo [emoji777]Sasa kama wakicheza vizuri malalamiko ya nini tena? Hivi nyie uto mnafikiria kwa kutumia ubungo kama sisi Kweli?
Baleke apewe mpira wake kabisa hii 1st half maana akirudi 2nd half anachukua mwingineAjibu anapiga freekick eneo zuri
Shuti lake linababatiza ukuta
Haupo uwanjani acha keleleMi siyo mshamba kama wewe,hata angekuwa anacheza KMC vs JKT leo ningekuja kuangalia......sichagui mechi ya kuangalia kama mlivyowengi mnaangalia timu yenu inapocheza tu tena kwenye tivi
kabisa kama red 2 na penati 2 zikipatikanaBaleke apewe mpira wake kabisa hii 1st half maana akirudi 2nd half anachukua mwingine
Hata njano haikutoka hapaWakifanya faulo za kustahili red card haiwezi kuwa excuse refa awaachie eti kwakua wana red card moja
Mpira wa miguu ukiushabikia seriously kama hivi utazeeka mapemaTZ PL huharibiwa na Makolokolo kubebwa kwa red cards toka timu pinzani kisha hupiga goli nyingi wakipumbazwa kuwa wana timu bora kumbe ni ukolokwinyo mtupu. Imagine na hapo Costal Union ni tawi lao Mbumbumbu
Ni ngumu kubishana na mbux3 maana ni kutumia neno la mtu bila idhini yake,Rage ana hati miliki ya hilo nenoHaupo uwanjani acha kelele
Sasa hivi tayarikabisa kama red 2 na penati 2 zikipatikana
Ila angecheza Frolentina ingekuwa mzuka sio?anacheza ARAJIGA
Nilishakuambia kitambo. Tulia kijana.Huyu mpeni kipaza atangaze magoli. Naona ana kelele sana
Mbumbumbu atayekujibu hii hoja nikumbushe haraka sana asiitwe Mbumbumbu, nimekaa pale.Ile ni penati halali, lakini anachonoahangaza Mzamiru amefanya foul 6 lakini Hana hata onyo la mdomo. Matokeo yake kaonyeshwa Malone na faulo 1 isiyo na madhara.
Shinda 5 au 6 lakini wew ni wapili tu na bado leo muhuni wenu inonga amekandwa na wahuni wenzie π€£ππππpAmoja na utopolo mkiwepo uwanjani?
Hata ile faulo ya Lomalisa angefanya mchezaji wa Yanga Kwa mchezaji wa Namungo,waimba mapambio na Media zao leo ungekuwa ndiyo story kubwa
Nakazia π―π―Mbumbumbu atayekujibu hii hoja nikumbushe haraka sana asiitwe Mbumbumbu, nimekaa pale.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wachezaji wako hawajawahi kufaidika na maamuzi ya refa?
Leo kakunjwa yeye hadi wamekapeleka hospital ππ€£πππ wahuni sio watu
Mikia buana,huyu si ndiye mlikuwa mnamtusi juzi πππBaleke apewe mpira wake kabisa hii 1st half maana akirudi 2nd half anachukua mwingine