Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzidi nyie?Wachezaji wako hawajawahi kufaidika na maamuzi ya refa?
Kuna ajabu gani..kuna timu kwenye siku yao walifungulia MBWA na uwanja haukujaaJapokuwa kuwa kwamba leo siku ya kazi ndio msuse kabisa kwenda uwanjani hata watu mia mbili hamfiki. Halafu mwisho wa msimu TFF wakitoa takwimu timu iliyoongoza kuingiza mashabiki viwanjani mnaanza kulialia kuwa takwimu za uongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Brach.Tawi
Mmoja kashapata, anasubiria mwingine dakika 45 za kipindi cha piliBaleke apewe mpira wake kabisa hii 1st half maana akirudi 2nd half anachukua mwingine
Apimwe akiliKuna mtu alisema Simba leo wanaanza kuongoza ligi.
Itawatokea muda si mrefu halafu andamaneni kwa samia kwamba karia anawachukia muda utasemaShinda 5 au 6 lakini wew ni wapili tu na bado leo muhuni wenu inonga amekandwa na wahuni wenzie 🤣😂😂😁😁
Leo kuanzia kocha mpaka storekeeper watasifiwa vibaya mno.Mikia buana,huyu si ndiye mlikuwa mnamtusi juzi [emoji3][emoji3][emoji3]
Refa wa jana kama hakutoa red basi alifeli sana, vipi joyce anaendeleaje nae
Vita ya ndugu usiingilie 😀😀Tawi
kdg,angalau ila sio huyuIla angecheza Frolentina ingekuwa mzuka sio?
Mbumbumbu ni wahanga kiakili kutobeba TZ PL misimu miwili mfululizo 2021/22 - 2022/23, lazima wabebwe bebwe kama matoto akina Junior ili yasiwehuke [emoji2960]Hata ile faulo ya Lomalisa angefanya mchezaji wa Yanga Kwa mchezaji wa Namungo,waimba mapambio na Media zao leo ungekuwa ndiyo story kubwa
Nje miezi sitaInonga lazima kavunjika mguu
Ha ha ha ha
Sawa tutaona🤣😂😁Itawatokea muda si mrefu halafu andamaneni kwa samia kwamba karia anawachukia muda utasema
Wamevurugwa kabisaMbumbumbu ni wahanga kiakili kutobeba TZ PL misimu miwili mfululizo 2021/22 - 2022/23, lazima wabebwe bebwe kama matoto akina Junior ili yasiwehuke [emoji2960]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Luc Eymael.............. 🙂Ni ngumu kubishana na mbux3 maana ni kutumia neno la mtu bila idhini yake,Rage ana hati miliki ya hilo neno
Kabisa, unaweza kuumbukabbureVita ya ndugu usiingilie 😀😀