Hiyo siku Yesu atakuja.kwa simba hii mtafungwa mengi sana na yanga. mark my words.
HayaMimi ni yanga mkuu
Labda hunijui
Nachotaka kusema subiri ligi ianze ndio majibu yatakuwa sahihi, tuupe muda utoe majibu ila Simba day haiwezi kuwa kipimo cha kuhukumu mchezaji au kusifia mchezaji. Ni sawa sawa na siku ya Yanga.Kwa hiyo unataka kusema nini?
Wote wanaoshangilis ushindi wa Leo hawataonekana siku hiyo. Wengine watadai eti wako msibani wamefiwa na ndugu hawawezi kutazama mpira, wengine watadai wako wodini wanauguliwa na wake au Waume zao hivyo hawawezi kuangalia mpira. Kila mmoja atakuja na excuse ya kumfanya apotee.Huyo tarehe 8 atakimbia humu
Hii ilikuwa ya miezi mingapi?Miezi 7 tu iliyopita uto walipokutana na APR
View attachment 3060830
Uto mada inahusu nini mwanetu?Hii ilikuwa ya miezi mingapi?View attachment 3060831
Ila nyie kucheza na wazuru walioponea kushuka daraja na kuwafunga ndio kipimo kuwa Yanga ni bora na hamuhitaji muda utoe majibu?Nachotaka kusema subiri ligi ianze ndio majibu yatakuwa sahihi, tuupe muda utoe majibu ila Simba day haiwezi kuwa kipimo cha kuhukumu mchezaji au kusifia mchezaji. Ni sawa sawa na siku ya Yanga.
Naunga mkono hojaWote wanaoshangilis ushindi wa Leo hawataonekana siku hiyo. Wengine watadai eti wako msiba mi wamefiwa na ndugu hawawezi kutazama mpira, wengine watadai wako wodini wanaiguliwa na wake au Wayne zao hivyo hawawezi kuangalia mpira. Kila mmoja atakuja na excuse ya kumda ya apogee.
Wewe umesema vizuri; unaomba tuwafunge goli za heshima, kama moja u mbili tu halafu tuavhie hapo. Hao wenzako wanaosema hovyo ndio watakaoiponza timu, kwani tukifungulia mbwa, utakuwa ni mwendo wa nne hadi sita.Binafis nimeridhika na timu sema kibe na fred mpura umewakataa.
Yanga hata mkitufunga sawa tu tupo kwenye ujenzi sisi.ila zisiwe goli zaidi ya moja au mbili tu
Viwili vidogo!!? , we unaweza kumpa viwili yule mbaba jirani yako aliyekutongoza. 😂🤣Ulijificha wewe! Mmepata viwili umekuja na makelele
Asante b... LolsBasi ndio utariiiiinga hadi basi, haya hongereni b…