Manara anasema tiketi zipo kwa walanguziHapa kuna watu wengi wataingia ingia bure,huku wenye tickets wakiachwa nje.
View attachment 3060470
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara anasema tiketi zipo kwa walanguziHapa kuna watu wengi wataingia ingia bure,huku wenye tickets wakiachwa nje.
View attachment 3060470
ephen,ephen,ephen!Bhangi mbaya
Kila siku inaongeleka mpira wa Bongo ni Azam tv mkuu!ephen,ephen,ephen!
Simba vs APR ni kugombea nafasi ya 3.....Kesho wanatafuta Bingwa na mshindi 2....period....Sanda DayLeo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025
Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda.
Kaa nami katika uzi huu upate update ya matukio yote yakakayojiri..
Haya sawaKila siku inaongeleka mpira wa Bongo ni Azam tv mkuu!
Leo unauliza habari za dstv😂
Dstv hawaonyeshiHaya sawa
Kawaida kwenye ulimwengu wa burudani kulangua tickets.Manara anasema tiketi zipo kwa walanguzi
Dkk ya 55 sasa kipindi cha piliGame hii leo saa ngap?
Jua lote hili mkuu.Dkk ya 55 sasa kipindi cha pili
Saa moJa mkuu.Wakuu naomba mnijuze hii nechi inaanza saa ngapi?
Ubwela hujui muda wa mechi unabwabwaja tu.Kaa hapo hapo kwenye TV usubiri hadi mechi itakapochezwa, hata kama ni saa 1:00 usiku. Si hamna kazi za kufanya zaidi ya ushabiki wa mpira, tena kwa mechi ambayo timu yako haichezi!
Ndio mkuu 😎Jua lote hili mkuu.