min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu kuwa mvumilivu, tumetoa pesa nyingi sana ujue.Waletwe wengine hawana hamna kitu. Kidogo yule beki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuwa mvumilivu, tumetoa pesa nyingi sana ujue.Waletwe wengine hawana hamna kitu. Kidogo yule beki
Kila mwaka mnatoa pesa nyingi ila kuchukua makombe aaahh......😂🤣🤣🤣🤣Mkuu kuwa mvumilivu, tumetoa pesa nyingi sana ujue.
Mwasibuuu kwahiyo na msimu huu tunaendelea tulipoishia 🤣🤣🤣🤣Waletwe wengine hawana hamna kitu. Kidogo yule beki
Endelea kuidanganya nafsi yakoSofar tumecheza vizuri bado kuna mapungufu ktk final third tunahitaji natural winger upande wa kulia ..chasambi aingie
Nivumilie kwani wamekusanyana juzi? Wamekaa wiki 3 wakijiandaaMkuu kuwa mvumilivu, tumetoa pesa nyingi sana ujue.
basi sawa.Kaka tarehe 8 naziona 8
Bado hamjasema.Kwa dk 45 za kwanza, bado hakuna muunganiko wa timu. Ni suala la individual players. Tarehe 8 tunaweza nyanyasika iwapo kocha hatakuja na mbinu ya kuonganisha timu.
Namuona Bado yupo
Tarehe 8 mtauelewa vizuri huo msemo 🤣 🤣 🤣 🤣 tunza hii commentUbaya ubwela🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Foleni ya supu ya bure?
Mzamiru hana tofauti na saido wanafanana hadi kiparaKwa kikosi hiki, mchezaji mzamiru peke yake
Hatujasema nini?Bado hamjasema.