Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni bila fungulia mbwa kama UtoVibe kama lote hamna mianya uwanjani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe mie hapa.Subiri umuone Lipumba pale na masharubu yake kama panya.
Eti Mgeni rasmi ni Lipumba???Vibe kama lote hamna mianya uwanjani
Kama huna tiketi bako kwenu tafadhal[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Nguvu 1View attachment 2317968
Hata ile timu ya dada joyce wanakaa kwa hawa.Simba Queens wanaupiga mpira biriani
Ticket moja buku tano sasa kwanini watu wasije?Yani kama uko home unajiandaa kuja kwa mkapa ni bora tu usije
Hizi ni picha za saa 7 kasoro
Kwa mara ya kwanza nimeona ipo haja ya serikali kufunga feni uwanjani
Huku sio kujaa, huku ni kutapika
View attachment 2317970View attachment 2317971View attachment 2317972View attachment 2317973View attachment 2317974
Ni wachovu ila sio Kama vipersSimba mnatuumiza mashabiki wenu.
Jezi mbaya na mmeleta pic chache sana.
Halafu mlivyo wajinga mmeleta team wachovu ili mtudanganye ..
Mimi nahama hili li team bora nihamie yanga tu..
Sidhani , siyo rais wa CAF ? Wakileta wanasiasa wataharibuEti Mgeni rasmi ni Lipumba???
Ninyi akina Joyce Lomalisa mna akili za kiaziza sana hamuishiwi wivu wa kike kugombania mabwana.Simba mnatuumiza mashabiki wenu.
Jezi mbaya na mmeleta pic chache sana.
Halafu mlivyo wajinga mmeleta team wachovu ili mtudanganye ..
Mimi nahama hili li team bora nihamie yanga tu..