Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakukuwa na sababu ya kumwacha Saido msimu huuu!Ntibazonkiza na Kibu ndio watupishe, Mzamiru yupo vizuri tu.
Mwamba wenu huyooo msimu ujao kiatu vipiHakukuwa na sababu ya kumwacha Saido msimu huuu!
Anongoza kwa makosa uwanjani..
Wakioko sub wakijapata fitness, saido atakaa benchi sana
MbumbumbuPunguani
Yawezekana definition yako ya first eleven ni timu inayoanza kipindi cha kwanzaKama ndio first eleven hawa. Wakawaida sana japo kwenye uratibu wa tukio wamejipanga. Ngoja tuone kama wataingiza timu nyingine mpya. Kwa first eleven hii, hata mimi napata namba.
Wana kiwewe kwa unyama mwingi wa mnyama 😂
Ulitaka uskie nini?Pulomo ni nyingi kuliko uhalisia
Ndio kinachoenda kutokeaa hikoChama kuna walakini atapoteza namba msimu huu.....
Unaangalia mpira Mkuu?Hakukuwa na sababu ya kumwacha Saido msimu huuu!
Anongoza kwa makosa uwanjani..
Wakioko sub wakijapata fitness, saido atakaa benchi sana
Somalia hakuna mihogo na hawali mihogo. Labda huyu ni msomali wa HandeniView attachment 2710108
Uto[emoji196][emoji196][emoji196]