Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Hawaamini macho yaoooo 😂😂Uzi kichwa Cha kuku miguu ya mbwa🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaamini macho yaoooo 😂😂Uzi kichwa Cha kuku miguu ya mbwa🤔
Uongo uongo tuUlitaka uskie nini?
Sasa ww unaona kwaa mbaaali Ila sisi wa TV wanazoom tunaona had chunusi ya mchezajMbona sisi tupo live uwanjani afu mnachokiandika hatukioni mbona mnadanganya watu mitandaoni? shoo ya kawaida sana mara mseme alikiba sjui kaweje mara sjui ubunifu! upi sasa
Tupo uwanjani live acheni mhemko uongo uongo tu
Phiri hana Namba msimu huu.....Kipindi Cha Pili kinakwenda Kuanza Bila Phiri
Chama kuna walakini atapoteza namba msimu huu.....
TuliaMaelekezo hayo,wewe.
Wacheze wakiwa na jezi za njano tuwakamueNaona utopolo wameingia kucheza kipnd Cha pili kwa mgongo wa dynamo
Unajikuta mwalimu kashashaSimba inahitaji more fiziki na acceleration power..