kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Salim Ally ni Tanzania one Ajaye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimeo ni timu yenye mchezaji skubiduuuSingida fg wataibana mbavu hii simba kimeo
Ni mume wakoMbona Kibu ametoka na bado Phiri hajaingia? Kwani lazima mumsakame Kibu?
Wametandaza boli la kibingwa kabisa, waendelee hivyo hivyo hii ndiyo Simba yenyewe.Kwa hiki kikosi, wachezaji wasipopigwa misumari basi msimu huu wa kwetu
Hongera mtani Ila kwa kikosi hiki na uchezaji huo siwaoni mkifika mlipoishia msimu uliopita kwenye CAF.Simba hoyeeeeeeeeeeee
Hatujawahi haribu siku yetu
Hoyeeeeeeeeeee!!Simba hoyeeeeeeeeeeee
akili za watu kama wewe zinawaza ngono tuNi mume wako
Acha kujishebeduaHongera mtani Ila kwa kikosi hiki na uchezaji huo siwaoni mkifika mlipoishia msimu uliopita kwenye CAF.
Nakupitishia panadol hapo...Ila ukweli usemwe Simba Bado ni ya kawaida sana kwa mchezo walionesha dhidi ya nyoro nyoro power dynamo
Mkuu unanitusi, ni maoni yangu si lazima yaendane na yakoAcha kujishebedua
Tunawangoja kama kawaida jazeni uwanja sisi tunajaza makabati kwa vikombeNakupitishia panadol hapo...
Maana utalala huku unamwaza Esomba huku kuna mwamba kabisa ngome imara Fondoo...yani lazima mvurugwe
Hongera napokea ila huo mtazamo wako utunze utanambia mwakani mwezi wa tatu...Hongera mtani Ila kwa kikosi hiki na uchezaji huo siwaoni mkifika mlipoishia msimu uliopita kwenye CAF.
Maoni yako peleka jangwani.Mkuu unanitusi, ni maoni yangu si lazima yaendane na yako
Ukiwa kijana mwenye chuki ukizeeka unakua mwangaa unaruka na ungo!!!Ila ukweli usemwe Simba Bado ni ya kawaida sana kwa mchezo walionesha dhidi ya nyoro nyoro power dynamo