MmmmhhhhBaloteli anaingia na ndege ya SAA ngapi?
mbona hapo wanawake wapo watatu tuu mkuu?mliwakagua jinsia kabla ya kuwasajiliπ
tokabasi hapo sebleni nenda hata sehemu yenye vaib mskaji wangu usijekutusumbua humu na koment zako.Unyama mwingiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Siku kubwaaaaa
Siku ya kitaifa
Wenye nchiiiiiiiii
Yani ni kama vile dunia imehamia TZ
Azam wametukatili sana kuto kuonesha huu mchezo
Ndugu watanzania niko hapa muda huu saa 6 mchana ku-declare FULL HOUSE! Benjamin mkapa stadium
Acha ujinga bana ,Simba Ina mashabiki wa aina zote,wasomi na ambao hawakujaaaliwa kwenda shule.π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mbu mbu mbu FC...View attachment 2709834