XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Sasa mbona azam hawaoneshiMichezo Ya Timu za Vijana inaendelea hivi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona azam hawaoneshiMichezo Ya Timu za Vijana inaendelea hivi sasa
Mnaangalia kupitia channel ganiHii under 20 yetu inakaubovu fulani hivi
Kila mwaka anatumbuiza yeye tu! Hivi hakuna wasanii wengine wa kueleweka!! Halafu muambieni ukweli; asiingie tena uwanjani akiwa ndani ya jeneza. Ule ni uchuro.Shabiki Kindaki Ndaki Wa Simba, Atakuwa Ana Perform hapo Baadae Kwenye kilele cha Wiki Ya Simba
View attachment 2709676
Na wasisahau kuliweka lile kombora la Kibu Denis kwenye tamthiliya yao wanayoitengenezaMwaka jana tulimgonga mtu 2-0, Kibu alifanya majaribio ya kombora alilokuja kuwaua nalo
Ndoto ya mchana hii.Mwaka wa Vichapo kwa Wapinzani unazinduliwa leo Rasmi. Mwaka huu kuna timu itakula 10 niko paleeeee mtakuja Kufufua huu uzi.
WanaSimba hawana mpinzani kuanzia Timu yao mpaka Mashabiki
Azam sjui wamekutwa na Nini. Wanastory za kipuuz kabsa. Sisi tuliopo iselya huku tulitamani kuona michezo yote hasa ya hao vijana waliokusanywa Toka nchi nzimaSasa mbona azam hawaoneshi
Niko uwanjaniMnaangalia kupitia channel gani
Ni kama wamelipwa na utopolo watuharibie sherehe yetuAzam sjui wamekutwa na Nini. Wanastory za kipuuz kabsa. Sisi tuliopo iselya huku tulitamani kuona michezo yote hasa ya hao vijana waliokusanywa Toka nchi nzima
Sawa mkuuNiko uwanjani
Mkuu we ni barista...??Mchezo Kati Ya Simba Na Power Dynamos utaanza Saa 12 Kamili Jioni
Heri mliopo dimbani, sisi tu naonyeshwa wachambuzi tu.Hili lidogo sijui la wapi lilikuwa linapoteza mpira pale na michenga chenga yake
Hii mechi kumbe haipo live.Heri mliopo dimbani, sisi tu naonyeshwa wachambuzi tu.
Endele kutupa update mana Azam sjui wanamaana gani kutuonyesha wachambuzi katika sherehe hii kubwa.Hii mechi kumbe haipo live.
Tayari wameaawazisha now ni 1-1
Mwanzo tulikuwa tunaongoza