FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

Ni Siku Kubwa, Siku ya wenye Nchi, wengi
Wanaifahamu kama "Simba Day". Tutakuwa "LIVE
AND DIRECT" Hapa Kijiwe cha Soka "JAMII
SPORTS" Kukuletea yote vanaondelea kutokea
pale Benjamini Mkapa katika hii siku Kubwa, kwa
wana simba

Simba Sc Imetangaza Kufungua Mageti ya Uwanja
Kuanzia Saa 2 kamili asubuhi na Kutarajia Kuujaza
uwanza ifikapo saa 6 Kamili Mchana. Baada ya
Ticket Zote kuwa "SOLD OUT" Baadae Saa 1 kamili
Jioni Mtanange Wa Mpira Wa Miguu uta fuata ni
SIMBA SC Vs POWER DYNAMOS

Live Updates zote utazipata hapa.

SaLm Kikeke- MC namba Moja Shughuli Ya Simba

View attachment 2709666

MC PETIT-Atakuwa Mc Namba 2 Shughuli ya Simba

View attachment 2709669

MC B Classic- Atakuwa Mc Namba Tatu Shughuli ya Simba, Sauti Nzitooo

View attachment 2709670

Mgeni Rasmi -Ni Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

View attachment 2709671

ALI KIBA- Main Artist Kwenye Shughuli Ya Simba

View attachment 2709674

UPDATES:

Ifikapo Saa 2 Asubuhi Mageti ya uwanja wa Kwa Mpaka yatafunguliwa

Kutakuwa na Burudani Mbalimbali, Mchezo wa Kirafiki kati Ya Simba Queens na Msala Princess, CRDB BANK VS NMB BANK, Utambulisho wa wachezaji wa Msimu wa 2023/2024 na Baadae ni Mchezo Kati ya Simba Vs Power Dynamos
All the best
 
Rais kawa mwungwana asiwakatishe tamaa. Alipowakaribisha Yanga walimpa medali ya CAF, na alipewa jezi wakati akiwa mgeni rasmi wa sherehe za Uhuru wa Malawi kwa pamoja na mweyeji wake na wakapeana mikono baada ya kuzipokea. Sasa huko anakokwenda kuwa mgeni rasmi atapewa nini cha muhimu zaidi tu ya kutimiza wajibu wake kama mama wa wote. Sana sana watampa jezi yao kumwombia kuwa aiweka karibu na ile aliyopewa Malawi. Atampa mpambe wake na mambo yakishia hapo; hawezi kuitundika kwenye ukuta wowote wa ikulu kwani hakuna picha yoyote ya kidiplomasia itakayoambatana na jezi huyo.
 
Kila la heri kwa Wana Simba wote katika siku hii kubwa kwetu🦁🦁🦁
A6C619F8-EEE2-4857-91BD-0B06DF54B6D6.jpeg
 
Kila La Heri Siku Kubwa Kwa Taifa La Tanzania
Simba Sports Club
one Team, One Dream

Simba Nguvu Moja
 
Ni Siku Kubwa, Siku ya wenye Nchi, wengi
Wanaifahamu kama "Simba Day". Tutakuwa "LIVE
AND DIRECT" Hapa Kijiwe cha Soka "JAMII
SPORTS" Kukuletea yote vanaondelea kutokea
pale Benjamini Mkapa katika hii siku Kubwa, kwa
wana simba

Simba Sc Imetangaza Kufungua Mageti ya Uwanja
Kuanzia Saa 2 kamili asubuhi na Kutarajia Kuujaza
uwanza ifikapo saa 6 Kamili Mchana. Baada ya
Ticket Zote kuwa "SOLD OUT" Baadae Saa 1 kamili
Jioni Mtanange Wa Mpira Wa Miguu uta fuata ni
SIMBA SC Vs POWER DYNAMOS

Live Updates zote utazipata hapa.

SaLm Kikeke- MC namba Moja Shughuli Ya Simba

View attachment 2709666

MC PETIT-Atakuwa Mc Namba 2 Shughuli ya Simba

View attachment 2709669

MC B Classic- Atakuwa Mc Namba Tatu Shughuli ya Simba, Sauti Nzitooo

View attachment 2709670

Mgeni Rasmi -Ni Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

View attachment 2709671

ALI KIBA- Main Artist Kwenye Shughuli Ya Simba

View attachment 2709674

UPDATES:

Ifikapo Saa 2 Asubuhi Mageti ya uwanja wa Kwa Mpaka yatafunguliwa

Kutakuwa na Burudani Mbalimbali, Mchezo wa Kirafiki kati Ya Simba Queens na Msala Princess, CRDB BANK VS NMB BANK, Utambulisho wa wachezaji wa Msimu wa 2023/2024 na Baadae ni Mchezo Kati ya Simba Vs Power Dynamos
Kaka uzi umekuzidi uwezo, no picha nenda kaangalie YouTube mpenja anachofanya utaelewa maana ya live updates
 
Back
Top Bottom