Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
MWENYENCHISamia ni MWANANCHI!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWENYENCHISamia ni MWANANCHI!
Wengi tumechukizwa na hiliMakolo ni makolo tu, ona sasa tamasha limegeuka uwanja wa siasa.
Tamasha bovu sijawahi kuona.
Sasa kuaibika na nini ndgu?? Wewe pia si uliangalia kwenye tv na uliienjoy bila tabu wala tafrani. Ndivyo yanga ilivyotaka.Huruma ya viongozi au walifanya hivyo kujisitiri wasiaibike?
Wewe ni mjinga.. kila anayepungua ana shida? Wengine wanafanya special diet ili kupunguza mwili.ILA MAMA AMEPUNGUA!!
SIJUI ANAWAZA NINI[emoji849][emoji849]
Raii alikua anatafuta pa kutokea hadharani, na mwanya kauona kwa makolo.Wengi tumechukizwa na hili
Luois MUKWESOUNEILA MAMA AMEPUNGUA!!
SIJUI ANAWAZA NINI[emoji849][emoji849]
Tunadai bandari zetuSamia ni MWANANCHI!
Wasiokubaliana na swala la bandari wapo wengi sana, ila maswala la ushabiki mengine yanayosha hisia huwa ni ngumu sana kuyapambanua.Wengi wa walioujaza uwanja pale hawana uelewa wa kisiasa
Hii ilikuwa ni fursa ya umma kuonesha ni jinsi gani hawaitaki na wamekichoka chama tawala
Hawakutaka msongamano kwanini mlifungulia MbwaaaaWe jamaa bna kwani unadhani Yanga ingetaka kujaza uwanja kwa kiingilio kama chenu ingeshindwa??
Hawakutaka msongamono.
Nani ashindwe kulipa buku 5.
Kwahiyo wewe ungependa atokee kwa Uto sio ?Raii alikua anatafuta pa kutokea hadharani, na mwanya kauona kwa makolo.
Kumbe we jamaa punguani eehFungulia mbwa iliruhusiwa mwishono kabisa na hiyo ni huruma ya viongozi baada ya kuona watu wengi nje wasio na tickets na nafasi bado zipo
Kweli mkuuWasiokubaliana na swala la bandari wapo wengi sana, ila maswala la ushabiki mengine yanayosha hisia huwa ni ngumu sana kuyapambanua.
Nikupe mfano mmoja kusupport hoja yangu:-
Hapo uwanjani kuna mashabiki wa Mond ila ukienda leo kuwauliza kuhusu show ya KIBA wengi watamsifia sana, ila kawaulize kuhusu ALIKIBA sehemu ambapo Simba Sc haihusiki, uone majibu yao.
Ndiomaana CCM hutumia sana tafrija za kimpira.
Yanga hatuna mbumbumbu ndgu, aliona kwa makolo ndo panafaa kusema chochoteKwahiyo wewe ungependa atokee kwa Uto sio ?
Punguani na nusu.Kumbe we jamaa punguani eeh
nimeshajibu hilo, fatilia comments zangu hapa.Hawakutaka msongamano kwanini mlifungulia Mbwaaaa