Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Simba haina shida ya kiungo mshambuliaji.Tunavyosema hakuna wa kumuondoa Chama pale Simba kwaSasa ni kwenye mechi kama izi.
Simba kwasasa hawajapata mbadala wa Chama, wanahangaika kama kuku aliye katwa kichwa.