OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ile ndio fainali inabidi tufie uwanjani. Rais aagize waganga wote nchi hii waifanyie kazi mechiNilisema juzi hapa Simba wakishinda game na Horoya wakajihakikishia kuvuka, huko Morocco wasiende Raja wapewe point zao siyo kesi.
Waingize timu gym kuongeza fitness ya wachezaji tuisubirie robo.
Kwa simba hii kimeo, horoya atampiga bao hizii:5 mkonoWale washenzi wanaweza kuingia full mkoko wakati sisi tunaenda kukamilisha ratiba tukiwa na uhakika wa kuvuka. Tukienda kwa mentality ya kupambana kulinda heshma ya club sawa.
Kesho ni siku ya wanawake . Uzi wa kushuhudia timu za wanawake zinacheza ni lazima uanzishwe na wanaume .TANGAZO
Kesho hatutaki dunduka yeyote atuanzishie uzi, tutaanzisha wenyewe baada ya dakika 3 na kuendelea. Baada ya mchezo kuanza. Mzingatie hili Tangazo. Tuna letu jambo....
Mkuu umepiga vichwa watu, mpaka ubongo umetawanyika huko kichwani😂😂😂😂😂😂😂Kesho ni siku ya wanawake . Uzi wa kushuhudia timu za wanawake zinacheza ni lazima uanzishwe na wanaume .
Naskia watavaa hii kama ishara ya kuwapongeza wenzaoKesho ni siku ya wanawake . Uzi wa kushuhudia timu za wanawake zinacheza ni lazima uanzishwe na wanaume .
Hahaha[emoji23]
Nyie mnaocheza mpira mzuri hongera zenu ila tusije kusikia habari za kumlaumu Kisinda tena humuKwa Namna Simba Inavyocheza Mpira Itakuwa Sio Haki Ikishindwa Kuchukua Ubingwa Wa Ligi Kuu Na CAF Champions League 🫢[emoji1787]
akuna cha kupaki basi mzee baba,wale ni wahuni wana break down basi lako utalikuta linakatwa skrepa.Raja wanapiga mtaa mzima wale.Tukiwafunga Horoya tu
Kule Moroko ni mwendo wa kupaki basi.
In case hii ya juu ukawa huoni vizuri kwasababu ya hiyo rangi nyeusi
KabisaaTANGAZO
Kesho hatutaki dunduka yeyote atuanzishie uzi, tutaanzisha wenyewe baada ya dakika 3 na kuendelea. Baada ya mchezo kuanza. Mzingatie hili Tangazo. Tuna letu jambo....
Nyie mnaocheza mpira mzuri hongera zenu ila tusije kusikia habari za kumlaumu Kisinda tena humu
Au hiyo nyeupe kwasababu ya background ya mbao ukahisi pengine labda itakuwa ni fake watu wametunga kwa ku edit taarifa za uongo.
Kwa kifupi kasema Simba hii inaingia robo kwa kuunga unga.Unafika vipi nusu fainali bila kupita robo fainali?
Kwa simba hii kimeo, horoya atampiga bao hizii:5
Au zote hizo picha ukaziona ni za kweli ila Vipers tu ndio vibondeAu hiyo nyeupe kwasababu ya background ya mbao ukahisi pengine labda itakuwa ni fake watu wametunga kwa ku edit taarifa za uongo.
Unaweza ukatumia hii hapa ya chiniView attachment 2541006
Maana huwa wanawashwa sana.TANGAZO
Kesho hatutaki dunduka yeyote atuanzishie uzi, tutaanzisha wenyewe baada ya dakika 3 na kuendelea. Baada ya mchezo kuanza. Mzingatie hili Tangazo. Tuna letu jambo....
Lengo letu sisi ni kumpata punda na sio mlio wakeKwani Mimi Nimesema Mnacheza Mpira Mbaya Au Nimesema Yanga Inacheza Mpira Mzuri Mkuu? [emoji1787]