FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

Wale washenzi wanaweza kuingia full mkoko wakati sisi tunaenda kukamilisha ratiba tukiwa na uhakika wa kuvuka. Tukienda kwa mentality ya kupambana kulinda heshma ya club sawa.
Kwa simba hii kimeo, horoya atampiga bao hizii:5 mkono
 
TANGAZO
Kesho hatutaki dunduka yeyote atuanzishie uzi, tutaanzisha wenyewe baada ya dakika 3 na kuendelea. Baada ya mchezo kuanza. Mzingatie hili Tangazo. Tuna letu jambo....
Kesho ni siku ya wanawake . Uzi wa kushuhudia timu za wanawake zinacheza ni lazima uanzishwe na wanaume .
 
Kesho ni siku ya wanawake . Uzi wa kushuhudia timu za wanawake zinacheza ni lazima uanzishwe na wanaume .
Naskia watavaa hii kama ishara ya kuwapongeza wenzao

1678214180941.png
 
Well done Simba,mna mechi ya final na Horoya na sijui mtaweka strategies gani ili mshinde?
 
Back
Top Bottom