Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Naona umeongeza 1 kwenye yale mawili uliyopigwa weweMnakula 3 kama mmesimama!!
3
Hii mechi haina ladha bora kucheki gemu ya Horoya vs Raja casablanca.
Ohoo..jipangeni. tutakimbiana humu..Naona umeongeza 1 kwenye yale mawili uliyopigwa wewe
Ile timu haiwezi kuisumbua Simba kwanza hata nguvu ya kupambana hainaOhoo..jipangeni. tutakimbiana humu..
Pamba za GSM hizo 🤣😂🤣😂Weka ufafanuzi vizuri wa namna suti zinavyotakiwa kuwa, raia wanaweza wakajua umemaanisha hiviView attachment 2540732
Wenye Nchi SIMBA SC [emoji881]
💪Mkuu Sultan MackJoe Khalifa nipo pamoja na Nguvu Moja ya Mnyama [emoji881] kama ilivyo desturi.
Ile timu haiwezi kuisumbua Simba kwanza hata nguvu ya kupambana haina
Isha lose hope, hakuna namna inaweza ikapata nafasi ya kusonga mbele hivyo sitegemei kuona intensity kubwa zaidi ya kuona wakicheza kichovu kama De Agosto walivyokuja hapa nyumbani