Wapuuzi kweli kweli...sawa wamepata walichokita...huyo kayoko kama amehongwa basi hafiki nazo mbali...macho makubwa kama kinyonga...Azam mbona tumesema sana kuhusu tabia hii
Kwanza Camera zao mbovu utadhani wanatumia Camera za CCTV
Ukija kwenye replay unakutana na scratch yani ile slow motion inavyo pelekwa pelekwa inaongeza utata zaidi wa tukio kuliko lilivyoonekana wakati wa live
Huyo hajielewi...Picha mbaya sana
Sasa bora sisi tuliotoka droo ya kuonewa na timu bora kuliko wao na kagera sugar...upuuzi mtupu...Soma tena comment yako mkuu
Hivi mpaka sasa uto fc wametuzidi mechi ngapi mkuuUlinganifu wa point unapimwa kwa idadi sawa za mechi mlizocheza.
Kajifunze na hii
MojaHivi mpaka sasa uto fc wametuzidi mechi ngapi mkuu
Hapana tunawapongeza sana kwa droo hakika ni jambo kubwa hapo msimbaziIla mi vyura imefuraa muda huuu yalitaka tusisawazishe....
Kwenu dogo?? Kule kagera mlitaka kutoka roho mlishukuru sana kwa ile droo ya kubebwa...Hapana tunawapongeza sana kwa droo hakika ni jambo kubwa hapo msimbazi
Kayokwa alianza vizuri lakini amekuja kumaliza kama nilivyo tabiriWapuuzi kweli kweli...sawa wamepata walichokita...huyo kayoko kama amehongwa basi hafiki nazo mbali...macho makubwa kama kinyonga...
1Hivi mpaka sasa uto fc wametuzidi mechi ngapi mkuu
Kuna mambo mengi yalitokea...fanya kureviewKayokwa alianza vizuri lakini amekuja kumaliza kama nilivyo tabiri
Japo kipindi cha pili sikuangalia
mpaka leo simba anapoint 30 na yanga ana 37 kwa akili yako hapo ni tofauti ya point 4Ulinganifu wa point unapimwa kwa idadi sawa za mechi mlizocheza.
Kajifunze na hii
Kwahyo na ww unajiona kwamba mechi zote utashinda....mbona simba anapoint 30 na yanga ana 37 kwa akili yako hapo ni tofauti ya point 4
Ulivyokua na akili ndogo hiyo mechi ambayo hujacheza umeshaipigia mahesabu kwamba tayari mmeshashinda
Wapi nimesema yanga atashinda mechi zoteKwahyo na ww unajiona kwamba mechi zote utashinda....