Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Watakufa mwaka huuHizi sura za makolo zinavyoonekana hapa uwanjani sio rafiki, jamani Wananchi kuweni makini na hawa watu huko mitaani. Msiseme hamkuambiwa.
HahahahaMama yangu anaingia bocco.. [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Asante Kwa taarifa...tutalifanyia kaziSaidoo na chama hawapaswi kucheza pamoja, kwa mira wa cha na kiungo cha simba, anahitajika mnoo, tizama chama akicheza anashuka chini anaunganisha timu anazunguruka pale kati kufunika kosa la kutokuwepo namba 8 mchezeshaji.
TupooooooWana 5iiiiiimbaa. [emoji28][emoji28]
Mwaisa.. 😂🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasemaga mtu mmbad huyo mkuu
MO DewjiDah sijui atafukuzwa nani kesho
warudishwe...kwa nguvu!Simba wamekimbia uzi wameutelekeza wanasikilizia matokeo wakiwa chooni.
Aliefundisha Madrid ndiye yupi hapo.Tuvute kumbukumbu kidogo tukimsubiri kocha mpyaView attachment 2808916
Ni kweli ila tunahitaji alternative za kuleta uahindani kimataifa.Saidoo na chama hawapaswi kucheza pamoja, kwa mira wa cha na kiungo cha simba, anahitajika mnoo, tizama chama akicheza anashuka chini anaunganisha timu anazunguruka pale kati kufunika kosa la kutokuwepo namba 8 mchezeshaji.
Kwa MkeoBaada ya dakika tisini kuisha ndio mtapata goli