Ujue bana mdomoni unaweza jiona bonge la timu ila ingia uwanjani sasa ndo uhalisia unapoonekana.Kelele nyingi ukuta wa jeriko sijui nini ukuta wenyewe kila leo una leak magoli....alafu hawa jamaa hawajui mpira sifa nyingi wakati yanga wamesajiri watu bwana!
Mbwembwe tuu oh preason mara dubai sijui turkey 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣Msimu Huu Wa 23/24 Tulianza Kwa Kugawa Dose Ya Tano Tano Wakasema Waliopigwa Tano Ni Vibonde. Tuwaulize Tena Wanasemaje?
Naunga mkono hoja 👍👏Ujue bana mdomoni unaweza jiona bonge la timu ila ingia uwanjani sasa ndo uhalisia unapoonekana.
Na kufikia hapa ndo wamekubali kuwa timu yao ni mbovu. 🤣🤣
Hivi preseason walifanyia wapi kwel?Kelele nyingi ukuta wa jeriko sijui nini ukuta wenyewe kila leo una leak magoli....alafu hawa jamaa hawajui mpira sifa nyingi wakati yanga wamesajiri watu bwana!
Mbwembwe tuu oh preason mara dubai sijui turkey
😂😂😂Kabisa 🤣
Wakuu Ndio Nimeamka NGAPI NGAPI Aisee?[emoji23][emoji23][emoji23]
Pacome 😂 zouzou
Hazikwi mtu...kama nyie hamkuzikwa mlipokandwa 6 huko nyuma basi hata sisi tutasavaivu....Nipo jana nilikuwa taifa nacheki tuu mnavhombwela mbwela....kha! Goli tano jamani nyingi....poleni sana. Sasa tunazika au kusafirisha?
Habari za asubuhi mtani KalpanaHazikwi mtu...kama nyie hamkuzikwa mlipokandwa 6 huko nyuma basi hata sisi tutasavaivu....
😂😂😂 nakumbuka tulivyomfunga Asas wakasema Ooh. Majamaa wana njaa hawajala. Yaani kelele zilikuwa kibao.Msimu Huu Wa 23/24 Tulianza Kwa Kugawa Dose Ya Tano Tano Wakasema Waliopigwa Tano Ni Vibonde. Tuwaulize Tena Wanasemaje?
Mutu na nusu. 😂😂Pacome 😂 zouzou
🤣🤣🤣Nipo kazini mtani wangu hapa kazini kwangu kuna ndugu zangu siwaoni leo hadi mda huuuSalama mtani....bado unaota 5G unashangilia?
Kabisa😂😂😂 nakumbuka tulivyomfunga Asas wakasema Ooh. Majamaa wana njaa hawajala. Yaani kelele zilikuwa kibao.
Tunasubiria sasa kauli yao juu ya hizi tano za jana.
Hawana vifua....huku nilipo watu wametandika vitambaa vya njano🤣🤣🤣Nipo kazini mtani wangu hapa kazini kwangu kuna ndugu zangu siwaoni leo hadi mda huuu
Hatutaki hizo record za zama za kale ambapo mpira haukuwa live kwenye runinga. Enzi za giza. Enzi za RTD tu.Hazikwi mtu...kama nyie hamkuzikwa mlipokandwa 6 huko nyuma basi hata sisi tutasavaivu....
Nasikia wanamtimua ila aliposhinda kule tanga walimpa sifa,makolo mpira hawqjuiZitoke wapi Swahiba. 🤣🤣