Tumia Cha Dodoma changanya na Meru labda kitashukaNipo hapa natumia cha arusha lakini wapi hakipandi kabisa!!!
Dah!...Simba imefungwa lakini sio kimpira ! Ndio maana timu zetu za kitanzania hazifiki mbali.!
Kama refa anachezesha huku anashabikia magoli ujue huyo sio refa.
Bado hamjaongea, ila mutaongea tu.Unamuhamzisha manula yupo out for 1y hana hata game moja ya majaribio what fvckng coach[emoji706]
Niseme nini sasa au unataka niseme kuwa hainiumizi...?Bado haujasema
Tutalia vilio vya aina nyingi sana mkuu. Hizi 5 bora tungepigwa na waarabu tungepata pa kujifucha sio hawa kina skudu na mzize.Tuna timu ya kawaida sana timu kuanzia kwenye namba sita kurudi nyuma wote ni wabovu nashindwa kuelewa kwanin ngoma anacheza kweny base ya chini wakati hawez kabisa kukaba kapombe shughuli yake imeisha
la tatu? la nne? la tano? [emoji1787][emoji1787]Goli la pili kuna faul ilitokea refa akaacha
Pira objectiveSimba imefungwa lakini sio kimpira ! Ndio maana timu zetu za kitanzania hazifiki mbali.!
Kama refa anachezesha huku anashabikia magoli ujue huyo sio refa.
Uzuri ninazo 4, sirudii 😆 😆 😆Ndio ndio tuvae odo tuvae wiki nziiima tunavaa jezi. 🤣🤣
Pyeee......Kitu ambacho Simba Sc imekuwa vizuri sikuhizi ni kutumia mipira iliyokufa, nina uhakika kama Yanga ataruhusu kona na faulo nyingi eneo hatarishi katika kipindi cha pili lazima tushudie goli.
Atatobo pua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uyo safari imeivaa hawezi kutoboa
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe umeelewa?Umeelewa nilichoandika?
Shuuuushushuuushuuuuuu shushuuukushuuuuushuuushuuuu!!Nasikia mlimpika na midawa yenu akaivaaa....
Nimekukumbuka[emoji7]Usenge usenge tu
Nikumbuke ushindi uliopatikana hata sijazaliwa? Ujinga mtupu!Wana thiiiiiiiiimbaaaaaaaaaa
Uchungu ukizidi ukumbuke na ww ulishamfunga 6 kwa 0.....
Unakunywa maji unalala....
Naona ule utabiri wangu unaanza kutimia kidogo kidogo. 😁Kmlmmk robatinyo na uongozi mzima i’m out for this team