FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Tuna timu ya kawaida sana timu kuanzia kwenye namba sita kurudi nyuma wote ni wabovu nashindwa kuelewa kwanin ngoma anacheza kweny base ya chini wakati hawez kabisa kukaba kapombe shughuli yake imeisha
Tutalia vilio vya aina nyingi sana mkuu. Hizi 5 bora tungepigwa na waarabu tungepata pa kujifucha sio hawa kina skudu na mzize.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…