Kizazi ambacho wakati wanashikwa mikono na wazazi kwenda uwanjani forward wa Simba alikuwa OKWI.Huwajui Yanga na Simba
Hizi Ni kauli za watoto mliozaliwa leo asubuhi, mkamkuta Mayele.
Hakuna anaeujua mpira wa Simba na Yanga anaongea hivyo
Kupo tuli sasa hivi, nipo around 4km kutokea uwanja ulipo.Vipi wazee huko bongo mvua imepoa?
utaupita huu uzi muda si mrefu.Mvua niachie my wangu.View attachment 2804747
Yanga kamfunga mbabe wa africaYaani simba atoe droo na al ahly halafu aje afungwe na yanga?
PoaKupo tuli sasa hivi, nipo around 4km kutokea uwanja ulipo.
Vinne vinamhusuUtopolo akipigwa leo na hii mvua baridi itawaingia vizuri sana!!
Hakuna mvua jua kali sanaMlioko dar vipi mvua bado?
..Daima mbeleeee[emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172]
Sasa mbona ubaguzi sioni ukipost na upande wa yanga ukianzisha thread kama hizi unatakiwa uwe fair japo mimi ni ThimbaHayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.
Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.
Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Simba walitimua choko huku yanga inawafuga,Kabwili alisema ameacha wengine tisa.
Pole mkuu.Tanesco washafanya yao huku kwetu!
Streak?Streak Bocco
afu unategemea upate ushindi kwa Yanga kweli