FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Daima mbeleeee[emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172]
..
FB_IMG_1696523646503.jpg
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.

Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.

Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Sasa mbona ubaguzi sioni ukipost na upande wa yanga ukianzisha thread kama hizi unatakiwa uwe fair japo mimi ni Thimba
 
Back
Top Bottom