Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kajificha kama ilivyo kawaida yake.Hivi Genta yupo kwenye ban ama? Sijaona uzi wake wa kiintelijensia hata mmoja. Au tusubiri mpaka kesho?
Na kweli imepenyaaa sisy naona umekuja kujibu hahahahahUkisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaa 📌📌📌!
Jua kavu imepenyaaaa🖐️💛💪🤣!
Mie ningeangaliaga kwa watu wengi ningewamwagia maji kabisa,Sema mpira raha sana, kuna Yanga mwenzangu alikuwa kiti cha nyuma yangu, wakati tunashangilia goli la tano alipigwa konzi, mpaka mpira unaisha hajajua kapigwa na nani [emoji28][emoji28][emoji28]
Msitukanane jamani nyinyi ni watani wa jadi 🤣🤣🤣Na kweli imepenyaaa sisy naona umekuja kujibu hahahahah
Sasa kwanini utumwagie maji sasa? 😅😅Mie ningeangaliaga kwa watu wengi ningewamwagia maji kabisa,
Maana mnakelele balaa.
Kuna li bonge hapa jirani linafosi mabishano,
Wacha nilale zangu mie,
Nipeni pole na hela.
🥴🥴🥴💛🖐️!Na kweli imepenyaaa sisy naona umekuja kujibu hahahahah
Sipendagi makelele bana,nyie mnamakelele hadi kero.Sasa kwanini utumwagie maji sasa? [emoji28][emoji28]
Anyways, pitia kwa wakala aliyepo karibu na home kwako hapo, nimekutumia hela ya pole mtani.
Mkuu, nilianza kuipenda Yanga mwaka 2000 nikiwa katoto kadogo kabisa, wala huyu babe sikujua kama yupo duniani wala sikuwa najua kama kuna kitu mapenzi.Wewe ndio shabiki wa kwanza wa yanga mwanamke kuona unashabikia timu tofauti na ya babe wako, kwa utafiti wangu mdogo ukikuta mwanamke ni shabiki wa yanga asilimia kubwa ni sababu ya mabebi wao na si kwamba eti wanaupenda sana mpira, lakini wewe kwa comments zako mpira unaujua uko vizuri
💛💛💛💛 Yanga Mmuah mmuah!😘😘😘😘😘