Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
The elders have their theory about rain but you have to respect football as a profession, or it will humble you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitabiri[emoji23][emoji23][emoji119]Utabiri wangu: Leo simba tutafungwa goli za kutosha. Na baada tu ya kufungwa, uongozi wa klabu utamtimua kocha Robertinho.
Tupo tumejaa, kwani vipi?Simba mmeenda wapi
Hujui mpira magoli ya kizembe mno yale.watu wameanza kumlaumu manula, yale magoli kipa yeyote alikuwa anafungwa. angalia kama kile kichwa cha musonda cha awali kabisa, kipa gani angedaka kile? angalia maxi alivyofunga, angalia aziz ki alivyopiga mpira kwenye miguu ya mabeki, angalia penati, magoli 4 yalikuwa ya kiwango cha juu, labda moja tu ndio pengine kipa bora angedaka.
Ungeingia wewe dadaHujui mpira magoli ya kizembe mno yale.
Hakikisha leo anafurahi.
Mnatuonea Bure tu, ila Ukifanya research ndogo hata humu JF utagundua nyie mlivyo na fujo, hasa timu yenu ikifungwa kama hivi.Sipendagi makelele bana,nyie mnamakelele hadi kero.
👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆🤣Simba mmeenda wapi
Akili za Makolo [emoji23][emoji23][emoji23]Yaani simba atoe droo na al ahly halafu aje afungwe na yanga?
**** wewe dada ni baba yakoUngeingia wewe dada
Kwenye nyuzi za Yanga una maneno mengi na kusema Yanga inatumia rushwa kushinda sasa useme kwenu imekuwaje.Hatai kwei kwei
Taka usitake huo ndio kosa la kocha
Halafu unampanga kwenye mechi yenye pressure kubwa.Unamuhamzisha manula yupo out for 1y hana hata game moja ya majaribio what fvckng coach[emoji706]
Bado robo fainal za caf. Ila nusu tunafikaSasa tumemaliza deni lao, kama kuna linguine waseme ili tuwalipe tena
Mmeingia kwenye mfumoLeo tunakamuliwa nyingi aiseee
Huyu kocha mknd wake [emoji34]
Basi endleeni kuruka ruka angalieni msidondekee kwenye madimbwi[emoji16]Mnatuonea Bure tu, ila Ukifanya research ndogo hata humu JF utagundua nyie mlivyo na fujo, hasa timu yenu ikifungwa kama hivi.
Hata kitaa, furaha za matokeo ya leo hazitozidi siku mbili au 3, ila ingekuwa nyie mngetembea nazo hadi December