Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Polee sana mtani wanguYana muda basiiii.....
Uzuri na mr nae Simba damu basi hapa tunasikiliz mziki wa Dimond YATAPITA.... repeated...
makolo na wazee wao eti nao wafunguke kwa pressing ile ya Yanga π,wamestahili walichokipata π,kuna yule mchezaji wao waliedanganyana walitupora airport leo kuna kipindi alikua anakimbia kama center bolt imekatika dadadeki πAfadhali umekuwa mkweli Mtani.
Pole lakini. π
Hebu nisaidie, sita kwa kiarabu inatamkwaje?hamsaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuombee Dua njema, ili tusherehekee na kuruka ruka bila kupata madharaBasi endleeni kuruka ruka angalieni msidondekee kwenye madimbwi[emoji16]
Goli la 3 aziz k 1 makolo 6 ndani ya box πHujui mpira magoli ya kizembe mno yale.
Mpaka mseme πYana muda basiiii.....
Uzuri na mr nae Simba damu basi hapa tunasikiliz mziki wa Dimond YATAPITA.... repeated...
fukuzeni japo kuna athari kubwa mkifanya hivyoTatizo ni kocha wala hakuna kingine, hatuoni mbinu za mwalimu kiwanjani zaid ya wachezaji kukimbiza upepo tu
Nimepokea best....tuone mbele huko...Polee sana mtani wangu
Braza uwe unakula kabla ya matchYaani uto amfunge simba tatu? ππ