FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Manula amecheza kwa sababu ya uhuni wa unaofanyika nje ya uwanja na watani zetu. Mambo ya kuwahiwa tu.

Lazima tutoke haraka kwenye hii mechi ili twende mbele, kama ambvyo tulivyotoka haraka kwenye hisia za AFL.

Ova
Nikumbushe ile slogan ya hii game b...
 
Haki hii ni aibu ya karne, Simba amelia kama paka kabisa nyauuuuu!....
Kupasuliwa goli tano jamani sio mchezo!.....
Ila Pacome ni mtu na nusu!!
Nna raha hapa niliahidiwa uchi na demu moja nikimfunga leo!...namsubiri nae nimpasue vitano kitandani😂😂
ASANTENI WANANCHI KUNIHESHIMISHA NIMEPANDA DAU
 
Am really wearing the painful suit you are passing through now is so heavy my friend...[emoji26]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tayari mmeshasema, hivyo hatuna neno tena [emoji28][emoji28].

Alafu rudisha ile avatar iliyokuwepo before hii ya sasa.

#Guvu moya[emoji419]
Sibadili avatar hadi mseme+


Nguvumoja[emoji419]
 
B... unashindwa kuniachia hii siku moja kweli? Hii moja tu nifurahi leo.
Mbona zile za Ahly tulilia wote? Vibaya hivyo b...
Hii ni derby, ina maumivu tofauti kabisa na ile. Sherehe ziishie tu hapa kwa kweli, ukizileta na kule ni kutafuta kupigwa tu.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…