ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nme saveWana lunyasi 2 nyuma mwiko 0,,
Save hii comment...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nme saveWana lunyasi 2 nyuma mwiko 0,,
Save hii comment...
Nikumbushe ile slogan ya hii game b...Manula amecheza kwa sababu ya uhuni wa unaofanyika nje ya uwanja na watani zetu. Mambo ya kuwahiwa tu.
Lazima tutoke haraka kwenye hii mechi ili twende mbele, kama ambvyo tulivyotoka haraka kwenye hisia za AFL.
Ova
Nipigie simu ya WhatsApp video call afu ujibebishe huku ukikumbushia jinsi gani ulivyonimiss kimahaba uone kama bado atakuchunia [emoji2]Mpaka sasa hivi nimechuniwa! [emoji24][emoji24][emoji24]
Tupia na ile picha yako ukiwa naye huyo kolowizards uwanja wa Taifa leo hii [emoji16]Upo kumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Am really wearing the painful suit you are passing through now is so heavy my friend...[emoji26]Just a very bad day in the office, kama kipigo kweli tumetandikwa, tena tumetandikwa haswaa, hakika kupata usingizi usiku wa leo ni ngumu, ikibidi tutafute vidonge vya usingizi angalau vitusaidie kupitisha haya masaa ilimradi pakuche, na hata kesho pakikucha sijui tutakimbilia wapi...
Kazini itakuwa moto...
Mtaani patakuwa moto...
Kwenye daladala itakuwa moto...
Kujifungia ndani nako patakuwa pamoto labda usiwashe radio, wala kusikiliza TV, inshort ikibidi na masikio tuzibe tusisikie kelele za nje, vinginevyo hali ni mbaya...
Na hili baridi la leo Dsm, kweli mtihani tumepewa, tukiuvuka huu tutaamka wanaume zaidi ya jana...
All in all, potelea mbali, Simba SC Nguvu Moja...
Wacha upepo wa kisuli suli upite ..
Zilipendwa
Wana thiiiiiiiiimbaaaaaaaaaa
Uchungu ukizidi ukumbuke na ww ulishamfunga 6 kwa 0.....
Unakunywa maji unalala....
Weee siwezi kuuonja moto kwa kuulamba, usiniponze.Nipogie simu ya WhatsApp video call afu ujibebishe huku ukikumbushia jinsi gani ulivyonimiss kimahaba uone kama bado atakuchunia [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sibadili avatar hadi mseme+Tayari mmeshasema, hivyo hatuna neno tena [emoji28][emoji28].
Alafu rudisha ile avatar iliyokuwepo before hii ya sasa.
#Guvu moya[emoji419]
SITTAHebu nisaidie, sita kwa kiarabu inatamkwaje?
Kibu Denga mgeni rasmi [emoji4]Tupate neno kutoka kwa mgeni rasmiView attachment 2805014
Hii ni derby, ina maumivu tofauti kabisa na ile. Sherehe ziishie tu hapa kwa kweli, ukizileta na kule ni kutafuta kupigwa tu.B... unashindwa kuniachia hii siku moja kweli? Hii moja tu nifurahi leo.
Mbona zile za Ahly tulilia wote? Vibaya hivyo b...
Bebwabebwa (Mbeleko) SC [emoji1]alafu yao ilikuwa na penati 3
Mkono mmoja weka juu "Chege Chigunda" [emoji847]View attachment 2805008
Kiko wapi my wetu 5 [emoji23][emoji23][emoji16]
Kabisa mkuu, hawa watu ni wa malalamiko balaa. Wangesimamia haya malalamiko hadi Derby nyingine.Wasingeshinda leo goli nyingi ndo ungejua maana halisi ya malalamiko.