FT: Simba SC 2-0 Mashujaa FC | NBC Premier League | Azam Complex | 15.03.2024

FT: Simba SC 2-0 Mashujaa FC | NBC Premier League | Azam Complex | 15.03.2024

Ungeangalia reaction ya kocha wakati Saidoo, Kibu na Shabalala walipokuwa wanafanya makosa.
Ni wazi kocha amekuta timu haina quality Ila angewavumilia Phiri na Baleke wangemsaidia kuliko Hawa ambao ni wabinafsi, wanashindea kutoa pasi kwa wakati na kufanya maamuzi yasiyo sahihi.
Simba hatuna wachezaji wa viwango
 
Back
Top Bottom