Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo shida kumbe sio GSM kudhamini team 8 ila ni viongozi wenu wenyewe..?? Alaaah, sikujua hiliHata next season kwa uongozi uliopo tusitarajie chochote. Babra alikuwa Kiongozi sahihi, alisimamia misingi ya kazi na kuvunja vijiwe vyote vya wapigaji. Walimpiga vita mwisho wa siku dada wa watu akaona ya nini? Akabwaga manyanga now yamejazana mapanya yanakula kila kilicho mbele!
Kupoteza hatupotezi, ila kiwango cha team kinakatisha tamaa. Sijui huko CCL hali itakuwaje!?Hii game Simba anapoteza rasm gape ni 10 points
HatupoteziHii game Simba anapoteza rasm gape ni 10 points
😅😅Mnatishwa na midevu?, Benchika hamna kocha... Alikuja kipindi ambacho kila mchezaji Alitak kumuonesha anajua apate namba, ila hana mbinu mbadal zaidi ya uwezo wa mchezaji mmoja mmoja... Chama hayupo kwenye siku zake 😅 kwahiyo timu haiwezi kupga matokeo.Wakuu mbona naanza mashaka na huyu kocha,mpira hauvutii,hata kama wachezaji wabovu ina maana plan zake ndo hizi?
Hakuna kocha hapo mkuu tuliwaambia mkataka kutoa roho ile ilikua upepo tu..Wakuu mbona naanza mashaka na huyu kocha,mpira hauvutii,hata kama wachezaji wabovu ina maana plan zake ndo hizi?
Mamelodi yupo atawasaidia. Msiwe na shaka katika hilo.Kupoteza hatupotezi, ila kiwango cha team kinakatisha tamaa. Sijui huko CCL hali itakuwaje!?
Nimecheza saanaMechi utafikiri inachezwa na wapiga nyeto asee [emoji28]
Mamelodi yupo, atawasaidia.Hawa ndio wanaenda kucheza na national al ahly
Ata wapiga nyeto unatuonea. Hatuchezi ivo.Mechi utafikiri inachezwa na wapiga nyeto asee 😅
Wamegawana pointNgapi huko?
Asee hii tatu malogo fcAta wapiga nyeto unatuonea. Hatuchezi ivo.