Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Sio mimiWewe wasema
Anaeangalia mpira anaona kinachoendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mimiWewe wasema
Hilo ndio jawabu
Naangalia piaSio mimi
Anaeangalia mpira anaona kinachoendelea
ChamaSaido toka hapo kwenye freekick
Malalamiko FCTuna taarifa watu wanataka kutuhujumu.
Ila Mashujaa hamtaamini kabisa macho yenu!!
Next seasonItoshe kusema Simba tuna team mbovu, namna hii Yanga atanyanyua kwapa mpaka tutakapoamua kuwa serious.
Hatuna timu mkuu,Simba uongozi ndo shida ikifika wakati wa usajili wanatuletea wachezaji wa buku jeroItoshe kusema Simba tuna team mbovu, namna hii Yanga atanyanyua kwapa mpaka tutakapoamua kuwa serious.
Vipi GSM kaacha kununua timu pinzani za Yanga anazozidhamini?Itoshe kusema Simba tuna team mbovu, namna hii Yanga atanyanyua kwapa mpaka tutakapoamua kuwa serious.
Khaaaa!Juzi tu Kuna mdau kamchambua kiufundi mno Leo kafanya nin tena.Kmmk aliyetuletea freddy anyongwe tu