vvvv
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 406
- 717
Simba inaongozwa na kundi la wahuniSimba haivutii kabisa kuiangalia[emoji706]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba inaongozwa na kundi la wahuniSimba haivutii kabisa kuiangalia[emoji706]
we nae ndo nini unaongea hikiKwahyo shida sio GSM kumbe..?
Hebu tulia,kwani utopolo mliitwa kuchangia au kiherehere tuSasa ndio mtakuja kuchangia
Kwa mbindeChamaaaa goal
Nalo goalKwa mbinde
Mkuu,Too late
kila match kwenu fainaliNalo goal
Mkuu Babra ni afadhali kuliko Kajuni,jamaa anakuja kwenye mkutano na kusema mafanikio ni ngao ya jamii na WhatsApp channel na anajisifu?Wengi mnasema Bora Babra arufi lakini mnachosahau aliyekuwa akifanya usajiri kwa kiasi kikubwa ni marehemu Hanspope kwa sababu alikuwa akitoa pesa mfukoni na Simba inapopata pesa alikuwa akikata pesa anazotoa.
Kwa timu ya sas wachezaji wanaostahili kubaki hawazidi 5Hii timu wachezaji wanatakiwa kila mechi halftime wakienda vyumbani maelekezo yatolewe kwa viboko,kosa moja viboko 10, mtu kama Fredy fimbo 90